Juley Aru
Member
- Jun 4, 2017
- 91
- 83
History ya jay z iko album ipi
- Nishike mkono 😀arasa
- History :Jay z
- Toy solder :Emminame
- where is love: Black eyed peace
- i see you when you get there : Colio
History ya jay z iko album ipi
- Nishike mkono 😀arasa
- History :Jay z
- Toy solder :Emminame
- where is love: Black eyed peace
- i see you when you get there : Colio
Afande nyati by P the McIts true kwamba Alama ya rapa mzuri ni uwezo wa kughani mashairi ya kupendeza..,lakini Alama ya Rapa mkali ni uwasilishaji wake wa visa,matukio,adithi,katika njia ya kupendeza na kumvutia msikilazaji kuendelea kusikiliza nyimboo..bongo kuna nyimbo kwa upande wangu zina adithi,story za kunivutia sana..kwa uchache nataja my top 5,,Nazi in
1: Diplomats MASELA TUMEJIPANGA
2: Chindo STORY YA NYOKAA
3:Jay Mo STORY 3
4:fid q RIPOTI ZA MTAANI
5:JCB UKISIKIA PAAH
Unakosa mengi mazuri....poleNapenda kusikiliza mziki ila huu ulinishinda. Ungetuwekea mashairi ya hizo nyimbo ili nasi tupate story
Nyakati za mashaka niki mbishi ft.grace matatahujasikiliza nyakati za mashaka ya Nikki Mbishi au makusudi ??
Ni soundtrack ya documentary (more than a game), bonge moja la ngoma kuna mkono wa kanye west kama sikoseiHistory ya jay z iko album ipi
Afande Nyati ni wimbo wa Stereo sio P the McAfande nyati by P the Mc
Unawajua M.O.PI gotta story to tell -Notorious B.I.G
Five minutes to flush- The Firm
Lodidodi- Snoop Doggy Dogg
Slim Shady - Eminem
Renee- Lost Boyz
Next Nigguz Dick- Onyx
Hamna ZUBEDA wala BONGO DSM za mkali prof. Jizzy! Bora nitengeneze list yangu!Its true kwamba Alama ya rapa mzuri ni uwezo wa kughani mashairi ya kupendeza..,lakini Alama ya Rapa mkali ni uwasilishaji wake wa visa,matukio,adithi,katika njia ya kupendeza na kumvutia msikilazaji kuendelea kusikiliza nyimboo..bongo kuna nyimbo kwa upande wangu zina adithi,story za kunivutia sana..kwa uchache nataja my top 5,,Nazi in
1: Diplomats MASELA TUMEJIPANGA
2: Chindo STORY YA NYOKAA
3:Jay Mo STORY 3
4:fid q RIPOTI ZA MTAANI
5:JCB UKISIKIA PAAH
Aaaaa!!!!! Usiseme havina maanaNyakati za mashaka story yake hajaipangilia vizuri,kazungumza vitu vingi ambavyo havina maana..bora zali la mentali
Kumbuka jay moe hana vina lakini1. Dingi - Mandojo na domo kaya. Sijawahi kuichoka.
2. Playboy - Nikki Mbishi. It's one of my favourite songs of all time.
3. Nikusaidieje (zubeda) - Professor J ft Ferouz. Ni dhambi kumsahau baba wa hiphop ya TZ.
4.Rafiki, afande nyati, salamu toka jela - Stereo. Nimeshindwa kuchagua moja kati ya hizo.
5. Stori 3 - Jay Mo. Kuanzia uandishi, mpaka flow, huyu jamaa ni very underrated.
Honorable mention:
- Nyakati za mashaka - Nikki Mbishi
- Mkuki moyoni - Afande sele.
Kumbe humu jf kuna watu wengi tu wanajua sana kuhusu authentic hiphop1.Dance with the devil- immortal technique
2.same story-vinnie Paz
3.Tabernacle-Royce da 5’9
4.Goodbye-slaughterhouse
5.Fatima-k’naan
Vina vipi unavyoviongelea wewe?Kumbuka jay moe hana vina lakini
Ngoja nakuletea full informationVina vipi unavyoviongelea wewe?