Best 5 Storytelling Rap Songs

Best 5 Storytelling Rap Songs

Wale walioimba sijui sumu ya teja
Hapana..

Mandojo na domo Kaya moja ya nyimbo zao ni kama Elimu ya Juu,dingi,kesho na Wanok-nok waliomushirikisha mwanadada kamanda Binti machozi jide.


Wimbo wao "dingi" upo vizuri.
 
Hapana..

Mandojo na domo Kaya moja ya nyimbo zao ni kama Elimu ya Juu,dingi,kesho na Wanoko-noko waliomushirikisha mwanadada kamanda Binti machozi jide.


Wimbo wao "dingi" upo vizuri.
Duh! Basi siwajui.
Kuna wimbo mmoja niliupenda sana sijui uliimbwa na nani, anasema baba yake alimkimbia kwa sababu ya hali ngumu ya maisha....aah nimeisahau
 
Su
Hapana..

Mandojo na domo Kaya moja ya nyimbo zao ni kama Elimu ya Juu,dingi,kesho na Wanoko-noko waliomushirikisha mwanadada kamanda Binti machozi jide.


Wimbo wao "dingi" upo vizuri.
sumu ya teja kaimba vitalis maembe
 
Duh! Basi siwajui.
Kuna wimbo mmoja niliupenda sana sijui uliimbwa na nani, anasema baba yake alimkimbia kwa sababu ya hali ngumu ya maisha....aah nimeisahau
Nadhani kwa sababu huwatambui vyema..

Kwa njisi ulivyoelezea utakuwa Ndio huo wa kuitwa Dingi-mandojo & domokaya.

Kwa hiyo wewe unapenda kusikiliza muziki wa aina gani..?
 
Nadhani kwa sababu huwatambui vyema..

Kwa njisi ulivyoelezea utakuwa Ndio huo wa kuitwa Dingi-mandojo & domokaya.

Kwa hiyo wewe unapenda kusikiliza muziki wa aina gani..?
wamanda vaku
 
I gotta story to tell -Notorious B.I.G
Five minutes to flush- The Firm
Lodidodi- Snoop Doggy Dogg
Slim Shady - Eminem
Renee- Lost Boyz
Next Nigguz Dick- Onyx
Daaayumn!!!
 
Nadhani kwa sababu huwatambui vyema..

Kwa njisi ulivyoelezea utakuwa Ndio huo wa kuitwa Dingi-mandojo & domokaya.

Kwa hiyo wewe unapenda kusikiliza muziki wa aina gani..?
Oooh kumbe! Basi huo naupenda mpaka kesho
 
Kwa hapa bongo ni Chindoman 'umbwa mzee' pekee kutoka watengwa ndo mwenye hii style
-Mjeshi
-Safari ndefu
-King kola
-Haikupangwa
-Nyokaa
..nk
Tumbonii
Mambo hubadilika
Tabia mbaya
Nyingine mpya ni mamalao
Jamaa anauwezo wa kupangilia story
Kina nash mc,p mc na songa wanajazana kijenge juu kila siku kupata ujuz wa mbwa mzee.
 
Nadhani kwa sababu huwatambui vyema..

Kwa njisi ulivyoelezea utakuwa Ndio huo wa kuitwa Dingi-mandojo & domokaya.

Kwa hiyo wewe unapenda kusikiliza muziki wa aina gani..?
Plz naomba anayeweza aniwekee mashairi yake hapa. Au aurushe huo wimbo hapa
 
Kuna jamaa anaitwa dizaster, story telling rapper, baadhi ya ngoma zake
Konda, kijogoo, kanisa, Dada,

Boshori ngoma nilipotoka

Stereo ngoma zake jela,ukonga,

Rapper wengne kwa story n songa,chindoman
 
Crazy GK ft TID - Tunakukumbuka
Crazy GK - Kosa langu
Crazy GK - Sauti ya Manka
Crazy GK - sister sister
Dully Sykes ft Queen Darlin - Historia ya kweli
 
Back
Top Bottom