Shania Komba
Member
- Nov 9, 2018
- 21
- 9
Huyu mdau kapigwa picha na mtu aliyeita Taxify South Africa, jamaa katokea na taulo, halaf cha ajabu anafanana mno na Besigye. Kama si yeye basi duniani wawili wawili walahi
Si ni yule jamaa alikua anataka Uraisi wa Museveni, akawa anakamatwa kamatwa.