BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
"Haiwezekani watu waishi kwa wasiwasi wanahofia kesho yao, Ni muhimu viongozi wote tukemee, maana hata watalii wanaweza wasije na tukakosa mapato Kama taifa" @BernardMembe, http://bit.ly/32823XU
Nadhani unachanganya madesa, labda useme Absalom Kibanda, sio Ulimboka. Unakumbuka aliyetamka hivi, "Kwa hapa tulipofika na madaktari, liwalo na liwe" alikua PM wa wakati huo na sio huyu jamaa.Huyu jamaa Membe ndiyo aliye master lile tukio la Ulimboka alikemea? Huyu jamaa ni mnafiki i never see.... Atulie hivyo hivyo
Mbona hayo hukusema kabla mkuu? Unasubiri akifanya jambo jema kwa ajili ya Taifa letu ndo umchafue? Tuambie hili alilosema halifai au linafaa basi. Maneno mengine yanatoka wapi?Huyu jamaa Membe ndiyo aliye master lile tukio la Ulimboka alikemea? Huyu jamaa ni mnafiki i never see.... Atulie hivyo hivyo
gamba mwenzangu johnthebaptist .... njoo huku usikie maendeleo hayana vyama bana!
Haaaaaaaagamba mwenzangu johnthebaptist .... njoo huku usikie maendeleo hayana vyama bana!
Huyu jamaa Membe ndiyo aliye master lile tukio la Ulimboka alikemea? Huyu jamaa ni mnafiki i never see.... Atulie hivyo hivyo
Hakuna tatizo kabisa,hivi kuna tatizo gani kuomba serikali ikemee Jambo fulani?
Soma vizuri au mskilize vizuri, kasema hasa kipindi hiki tunaelekea uchaguzi, huwenda kamaanisha inaweza kuwa hoja katika kampeni itakayobebwa Na upinzani Au inaweza kusababisha vurugu ikitokea mtu katekwa kipindi cha uchaguziKwamba Kuna aliyetekwa na utekaji huo unahusishwa na uchaguzi ujao ??
Tunahitaji ufafanuzi zaidi kwa aliyetoa hiyo kauli.
never see sio EnglishMPUMBAFU MMOJA WEEEE!
ramadhani IGHONDU ... Mzaliwa wa singida na mkazi wa TABATA JJNI DSMHuyu jamaa Membe ndiyo aliye master lile tukio la Ulimboka alikemea? Huyu jamaa ni mnafiki i never see.... Atulie hivyo hivyo
Kama wewe siyo mnafiki, uliwahi kusema hili kabla ya leo?Huyu jamaa Membe ndiyo aliye master lile tukio la Ulimboka alikemea? Huyu jamaa ni mnafiki i never see.... Atulie hivyo hivyo
tayari MaCCM mmeshapanic
Tundu Lisu..Aliye Master haya mengine yaliyofuatia ni nani?
Tundu Lisu..