Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,063
- 18,418
Kwani Membe yuko chadema Hadi amwachie Lissu? Kila siku mnasema Lissu atakuwa rais October Sasa Membe wa Nini tena? Acheni kujilizaliza eti aachiwe!Huyu nae si aache tu. Hivi haoni aibu ?Halafu 2025 atakuwa mmoja wa watia nia kupitia CCM. Amwachie Lissu bwana this time.