GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,451
- 127,625
unatofauti na yeriko nyerere
Huwa Sibishani Na Sijibizani Na MBWA WEWE Bali Nabishana Na Kujibizana Na Wenye MBWA Mabosi Wako Unaowatii Nchi Hii Na Najiamini.
Sijakuelewa Wewe Mwana UWT Hebu Irudie Na Iweke Sawa Tena Post Yako.
Sawa mkuu lakn c nmekuambia katiba zote mbili hii tusiyoitaka na ile ya zamani zote zinasema makamu atokee upande mwingne labda urekebishe useme Waziri mkuu
Wewe unatafuta attention, Nchi haiendeshwi Kiduanzi namna hiyo, uzuri hii post yako itaendelea kuwepo, na nitakuita hapa mwezi wa tano
Kila la kheri kwenye utoaji wa hizi habari zako za "jikoni" mkuu....
Kwani Ni Mara Ngapi Nimekuwa Nikisema Mambo Humu Tena NYETI Halafu Mnayakataa Na Baadae Yanakuja Kutokea? Sijawahi Kusema Jambo Humu Kwa Kubahatisha Na Narudia Tena NILICHOKIANDIKA HAPO NDIYO HICHO HICHO Mkuu Amini Maneno Yangu!
Kwani Kuna Sheria Gani Inasema Kuwa Ukienda Haja Kubwa Ni Lazima Uchambe Na Maji? Unaweza Ukachamba Na Toilet Paper AU Hata Nyasi...........Namaanisha Katiba Siyo MSAHAFU Wa Dini / Kiimani!
hee alikuwa handsome....
Bado ni handsome ukimlinganisha na waa umri wake.alikua HB balaa
We jamaa ni muongo na mzandiki wa haja! Nani kakwambia JK aliwahi kuwa huku TISS na akawa ana report kwa Membe? JK hajawahi kuwa TISS na Membe hajawahi kuwa bosi wa JK! Acha uongo na upotoshaji kutafuta sifa za kijinga.
GENTAMYCINE Ni Brand INAYOVUTIA Na KUCHUKIWA Na MAPOPOMA Wengi ( Wewe INCLUSIVE ) Ila MTAISOMA Namba Mwaka Huu Rais Ni Professor Sospeter Muhongo Kataeni Kubalini Na MTAKUJA KUNIPA PONGEZI ZENU HUMU HUMU Jamvini. Tena Shukuru Kuwa Na Mtu Kama GENTAMYCINE Humu Kwani Nawafunueni Kwa Mengi Msiyoyajua Na Nyie Mkienda Huko Mitaani Kwenu Mnaanza Kuchukua Marks Kwa Mnaowahadithia. Chezea GENTAMYCINE Wewe!!!!!!
Hiyo katiba umetunga wewe na ndugu zako sebuleni kwenu? Toka lini Rais akitoka bara na makamu wake naye anatoka bara? Rudi shule kasome civics form 2! Wewe ni kilaza, eti Nchimbi makamu wake Lowassa!? Nenda Facebook kawasanganye watoto vilaza wenzio hili ni jukwaa la great thinkers na wewe siyo mmojawapo!
Najua Kinachowauma Ni Kwamba Kwanini NYIE Mliopo Humo JIKONI Kwenu Hampewi Na Hamna Habari Hizi NYETI Na KUBWA Lakini GENTAMYCINE Mtu Wa Kawaida Sana Naheshimika Hadi Napewa Taarifa. Na Mtaninunia Na Kunichukia Sana Mwaka Huu Kudadadeki!
acha sifa za kijinga mkuu..... Hizo stor za kulula vijiwen wakat mnakunywa gongo unatuletea hapa??.........
Bado ni handsome ukimlinganisha na waa umri wake.
nan akununie wakat tulishakujua ww n punguan? Tangu lini kikwete alikuwa TISs? Ndio maana unaonekana kama jerry. .....
acha sifa za kijinga mkuu..... Hizo stor za kulula vijiwen wakat mnakunywa gongo unatuletea hapa??.........
GENTAMYCINE Ni Brand INAYOVUTIA Na KUCHUKIWA Na MAPOPOMA Wengi ( Wewe INCLUSIVE ) Ila MTAISOMA Namba Mwaka Huu Rais Ni Professor Sospeter Muhongo Kataeni Kubalini Na MTAKUJA KUNIPA PONGEZI ZENU HUMU HUMU Jamvini. Tena Shukuru Kuwa Na Mtu Kama GENTAMYCINE Humu Kwani Nawafunueni Kwa Mengi Msiyoyajua Na Nyie Mkienda Huko Mitaani Kwenu Mnaanza Kuchukua Marks Kwa Mnaowahadithia. Chezea GENTAMYCINE Wewe!!!!!!
Hakuna unachokijua wewe, nimekuambia nenda Facebook tunajua umevimbiwa maharage uliyokula jana baada ya kuhongwa vijihela na prof muongo kuliko msprof wote.
Hayo maelezo yako uliyotoa yanakizana na katiba! Acha kutoa upuupu hapa.
Wagombea watakaopitishwa na CCM Kwa taarifa yako ni Nchimbi na run mate wake ni Husein Mwinyi! au vice versa yake.
Haya nimekusaidia nenda kaandike fb!