Hali gani hiyo Mkuu?TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Laana ya kushangilia kifo cha shujaaBinadamu kujisahau kuwa wote ni wa ardhini ndo kunakotuponza.Leo wafurahia huyu au yule kufa then unaenda kulala huamki au wagongwa na baiskeli....wabondwa jiwe kwa bahati mbaya maisha huna.Usimlaumu MTU tatizo ni kujisahau.....
Huo ni uongo!TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Yule alikwenda na laana zake.....kifo humkuta yeyote ....we mwenyewe unaweza usimalize huu mwez mkuuLaana ya kushangilia kifo cha shujaa
Kwani huko kwenye mitandao ulikopita wao wanasemaje?TANGU kutangazwa kifo cha Benard Kamilius Membe kumekuwa na hali ambayo sio ya kawaida kwenye mitandao ya kijamii ya JF, Twita, Instagram, Facebook na Youtube.
Swali langu kwa watanzania Membe aliwakosea nini hadi iwe hivi?
Shujaa ndio alikufa kwa laana. Member kamkosea Nani?Laana ya kushangilia kifo cha shujaa
Kazike kwanza mkuu, if ipo tuHii nyuzi ni porojo tu iunganshwe au ifutiliwe mbali.
Ukweli ni upi?Huo ni uongo!
Chuki tu eti kisa baada ya yeye kusikia Msiba wa ankari Magu alifanya sherehe na kula kuku na pilau badala ya kuomboleza km wengine walivyofanya, hio nimepewa na imevujishwa kutoka huko ndani ndani na TumainiEl aliesema hivyo kua Mzee Membe alifanya sherehe ankari Magu alipofariki
Yaan jamàa wamesubiri afe kwanza ndio waje na hio point yao kwamba alikula kuku na pilau na kufanya sherehe siku ile ankari Magu alipofariki, inahuzunisha sanaNi utamaduni wetu kwa jamii zetu hizi mtu akifariki hata kama alikuwa jambazi, mwizi, malaya (jinsia zote) tapeli na muuaji eti bado tunatakiwa kusema mazuri yake tu kama vile mtendaji (Marehemu) alikuwa anafanya kwa bahati mbaya matendo yake ya kuumiza wengine
Sina lengo kumtetea Marehemu Membe ila kama kuna mtu yoyote alihisi hakuwa na uhusiano nae mwema kipindi cha uhai wake na alionyesha hisia zake sioni Kama ni tatizo hapo
Jamii yetu imejengwa kwa misingi ya unafiki na kujipendekeza pendekeza
Chuki, chuki, chuki, chuki = magufuliChuki tu eti kisa baada ya yeye kusikia Msiba wa ankari Magu alifanya sherehe na kula kuku na pilau badala ya kuomboleza km wengine walivyofanya, hio nimepewa na imevujishwa kutoka huko ndani ndani na TumainiEl aliesema hivyo kua Mzee Membe alifanya sherehe ankari Magu alipofariki