Level gani unayoiongelea kwamba haitafikia?
ha ha ha ha ha mkuu umeandika kwa hisia unaonekana unapenda sana magari hata mimi nimeona iyo ngoma haingii kwa range rover.Range rover mziki mwingine aisee kwanza AC yake tu huisikii kulia vuuu iko kimyaaa unaisikia kwenye ngozi tu alafu ukute siti ni ngozi da utaipenda
Bentley should stick to their flagship luxury executive big saloons i.e Arnage,Azzure,Fying Spur and sporty Continental....! But in SUV market they will flop!
Kaka mkuu hiyo kitu ni balaa , kitu AutoBiography achana nayo kabisa hiyo SUV bado sijaona ya kulinganisha nayo . I love this car, very comfortable and powerful ofcourse
Sasa hao VW wameshindwa Ku challenge RR na Touareg yao....wameamua kutumia mgongo wa hao hao British(Bentley) kushindana na RR kwenye SUV sector ambayo RR in master! Nini kiliwashinda na Touareg?!
Unachanganya mambo VW Touareg haikuwahi kuwa Mshindani wa Range Rover na wala haikutengezwa kwa ajili hiyo!
VW Toureg inashindana na BMW X5, Volvo X 60, Toyota Prado, Land Rover Discovery n.k kila mtu analijua hilo! Mpaka sasa hivi hakuna SUV ambayo inafikia ngazi ya Range Rover hilo halina ubishi ila karibia inabadilka kwa maana makampuni yote makubwa yameona ya kwamba SUV segment inalipa, kama ulifwatilia New York auto Motor show ungeona!
Unachanganya mambo VW Touareg haikuwahi kuwa Mshindani wa Range Rover na wala haikutengezwa kwa ajili hiyo!
VW Toureg inashindana na BMW X5, Volvo X 60, Toyota Prado, Land Rover Discovery n.k kila mtu analijua hilo! Mpaka sasa hivi hakuna SUV ambayo inafikia ngazi ya Range Rover hilo halina ubishi ila karibia inabadilka kwa maana makampuni yote makubwa yameona ya kwamba SUV segment inalipa, kama ulifwatilia New York auto Motor show ungeona!
Unahakika na unachokisema? Ni kwanini washindwe? Bentley chini ya mwamvuli wa VW ambao tayari wanatengeza SUV best selling Duniani kama VW Toaureg, Audi Q5 &Q7, Porsche Cayenne, Porsche Macan n.k ni swala la kuhamisha teknologia tu!
Kwa kifupi sasa kampuni nyingi zinaingia kwenye SUV segment kwa kuwa zinauzika sana sasa hivi Aston Martin wanakuja na SUV, Maserrati wanakuja na SUV hata Rolls Royce wanakuja na Rolls Royce Cullinan chini ya mwamvuli wa BMW sasa hao wote hawawezi kuwa vipofu na wajinga kiasi hicho wanajua wanachokifanya!
Hizi ni gari ambazo zinatengenezwa kwa matajiri wapya wa Uchina na siyo wabunge wa TanZania!
Samahani mkuu kwenye title yako si umesema Bentley ndo killer wa Range Rover?
Naona umejipanga kwa ubishi! Kule umeniambia Touareg haishindani na RR,hapa unaniambia VW wametengrneza best selling SUV yaani Touareg,na wewe ndio unaesema hamna SUV inayoshindana na RR! Sasa kama hamna ina maana hizo zote ulizotaja za VW wameshindwa kushindana na RR...whats so special hao hao VW watakujs nacho?! British backbone ya Bentley?! Ngoja nikusome tu.
na kuendesha uwe unaendesha huko huko ndotoni
MANENO IKO HAPA TU, ZUNGUKENI KOOTE LAKINI HAPA!!? ACHENI TU. ONE DAY YES.