Bentley Bentayga, Range Rover Killer!

Bentley Bentayga, Range Rover Killer!

Naamini watu wanaobisha hapa wamewahi endesha haya magari tajwa... hata hilo la concept!!!
 
image.jpg
 
Mbona unarudia yale yale vunguka kivipi? Nimekuuliza hiyo level ya Range rover ambayo Bentley haitifikia ni ipi?

Haita fika level za range rover sababu hilo bentley lipo kwenye class ya luxury vehicle wakati range rover lenyewe ni SUV kwa kifipi ni kama vile umefananisha marx x na suzuki escudo, hilo bentley litafananishwa na maybach sababu zipo class sawa umeelewa sasa level zinatofautisha na targetted customers maana hilo bentley ni design ya ma executives hivi nini na neeeeneee
 
Haita fika level za range rover sababu hilo bentley lipo kwenye class ya luxury vehicle wakati range rover lenyewe ni SUV kwa kifipi ni kama vile umefananisha marx x na suzuki escudo, hilo bentley litafananishwa na maybach sababu zipo class sawa umeelewa sasa level zinatofautisha na targetted customers maana hilo bentley ni design ya ma executives hivi nini na neeeeneee

Point of correction Mr......zote ni luxury...Sema range ni luxury SUV
 
Naamini watu wanaobisha hapa wamewahi endesha haya magari tajwa... hata hilo la concept!!!

Tehe watu hawana hata baiskeli hapa,,mie siwezi sema lolote. Maana katika biashara mbadala wa kitu huwa kuna factors nyingi. Sasa muonekano tuu sio factor ya msingi,unless waje na vitu vinavyoiacha mbali RR. RR ataaisumbua dunia hii kwa miaka mingi.
 
Hicho kitu kimetulia sana sema naona umbo limefanana sana hiyo BMW X6.Haiwezi leta mtafaruku.kisheria kweli maana naona kuna ku-copy hapo.

Maumbo ya magari hayawezi kufanana 100% kamwe. Lazima kuwe na tofauti kidogo sana, hata ukaaji wa exhaust pipe tu italeta utofauti.

Halafu X6 ni milango minne na hii milango miwili, tofauti tayari.
 
Mambo yenu ya RR ama Bentley mie siyawezi hayo.
Nitabaki na kimkebe changu cha kikabwela na walala hoi old model - Corvette
 
Hummer especially H2 haiwezi ku-challenge range kweli

Hummer ni military vehicle kaka, haikutengenezwa kwa nia ya kuwa luxury SUV ila ubishi wa binadamu wameigeuza kuitumia ki-luxury. Hata hvyo hizi hummer 3 hazina nguvu kwenye milima hasa kwenye zile barabara mbaya zaid.
 
Hummer ni military vehicle kaka, haikutengenezwa kwa nia ya kuwa luxury SUV ila ubishi wa binadamu wameigeuza kuitumia ki-luxury. Hata hvyo hizi hummer 3 hazina nguvu kwenye milima hasa kwenye zile barabara mbaya zaid.
Kuilinganisha Hammer na RR ni sawa na kuifananisha Simba Sports Club na Real Madrid.
Hammer hata bei zake ni mchekea tu, na ndo maana hazitengenezwi tena sababu haziuziki labda bongo tu
 
Back
Top Bottom