Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 383
Maoifisa wa benki ya Equity Tanzania wanadaiwa kutoa siri za wateja kuhusu kiwango cha pesa walichonacho kwenye akaunti zao.
Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) lakini ni hatari kwa usalama wa akaunti za wateja na usalama wa maisha yao
Hii imetokea hivi karibu Moshi Kilimanjaro ambako mshirika mmoja wa kibiashara aliyekuwa anamdai mwenzake pesa alienda kwa Teller mmoja na kumuomba amsaidie kujua kama jamaa yake yuko na pesa kwa akaunti yake na akapewa sasa jamaa anahofia usalama wake baada ya mwenzake kumweleza uko na kiasi fulani kwa akaunti yako.
Equity chungeni sana hao tellers wenu watasabisha shida huko mbeleni
Hili ni kosa kwa mujibu wa sheria ya Benki Kuu ya Tanzania(BoT) lakini ni hatari kwa usalama wa akaunti za wateja na usalama wa maisha yao
Hii imetokea hivi karibu Moshi Kilimanjaro ambako mshirika mmoja wa kibiashara aliyekuwa anamdai mwenzake pesa alienda kwa Teller mmoja na kumuomba amsaidie kujua kama jamaa yake yuko na pesa kwa akaunti yake na akapewa sasa jamaa anahofia usalama wake baada ya mwenzake kumweleza uko na kiasi fulani kwa akaunti yako.
Equity chungeni sana hao tellers wenu watasabisha shida huko mbeleni