mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Umeamkaje my broWazungu wana tupenda?
wawapende wajinga wajinga lakini sio mimi!!
Kwaiyo wana tamani kabisa Siku moja bara la Afrika liwe kama Ulaya sio!?
Tajiri ana penda masiki naye awe tajiri sio?
Kwanini walimuua Gadaffi!!?
Hizo ni akili za watu flani, yaani hawaelewagi