Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
COVID 19 inazidi kurudisha nyuma juhudi za nchi masikini kujikwamua.
Kwa Tanzania watu 500,000 wamerudi kwenye lindi la umasikini, inasikitisha maana itahitaji nguvu nyingi sana kujitoa tena huko.
Kama jamii tuungane kufuata hatua za kupambana na janga hili ili angalau tusiendelee kupata madhara makubwa zaidi.
Kwa Tanzania watu 500,000 wamerudi kwenye lindi la umasikini, inasikitisha maana itahitaji nguvu nyingi sana kujitoa tena huko.
Kama jamii tuungane kufuata hatua za kupambana na janga hili ili angalau tusiendelee kupata madhara makubwa zaidi.