Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania

Soma habari mwenyewe usipende kutafuniwa kila kitu kama mtoto...
 
Ila maisha yao daaa!!! Hadi huruma
 
Arusha askari polisi ni wachache mbona trafiki barabarani kila baada ya hatua mia tatu au 4 unawakuta trafiki na sio 3 au 4 ni kundi basi tupewe ajira jeshi la polis
Yangekuwa maandamano ndo ungejua kama ni wachache au la!
 
Crap
 
Hivi ni arusha tuu ndio kuna maduka ya kubadili fedha ama ni kwamba arusha kuna mzunguko mkubwa wa hela za kigeni ?
Alisema R~chuga hadi tutubutu sasa ni mwendo wa ubatizo wa moto chini ya yohana mbatizaji
 
Mtajijua wenyewe....hata mkiamua kutumia wale makomandoo wanaopasua matofali kwa vichwa sawa tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…