MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,616
- 6,393
Wanataka wazimiliki wao kesho kutwa utasikia dola 1 sasa ni 1000, uchumi unapaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa habari hii iliyoletwa haijavunjika,hivyo akidhi vigezo vya breaking newsHabari zilizovunjika
Soma habari mwenyewe usipende kutafuniwa kila kitu kama mtoto...Mkuu weka habari straight kabla ya kupost. Ndo maana hata heading ina tatizo.
Kuna tofauti kati ya "kusitisha leseni" vs "kusitisha utoaji wa leseni"
Kipi ni kipi?
Kusitisha leseni ina maana bureau de change zote zitafungwa.
Kusitisha utoaji leseni, ina maana zile zinazo omba leseni mpya ama pengine ku renew, ndizo zitaathirika.
Ila maisha yao daaa!!! Hadi hurumaJeshi, polisi, magereza, TISS, Mgambo, Uhamiaji na Zimamoto, vyote ni vyombo vya dola kwa maslahi mapana ya nchi. Polisi wanahongeka kiurahisi na kuvujisha siri, Vita vya kiuchumi vinahitaji askari wazalendo na wazalendo wetu ndio hao JWTZ, iwe Tanzanite, korosho au dola, wahahitajika sana
Yangekuwa maandamano ndo ungejua kama ni wachache au la!Arusha askari polisi ni wachache mbona trafiki barabarani kila baada ya hatua mia tatu au 4 unawakuta trafiki na sio 3 au 4 ni kundi basi tupewe ajira jeshi la polis
CrapJeshi, polisi, magereza, TISS, Mgambo, Uhamiaji na Zimamoto, vyote ni vyombo vya dola kwa maslahi mapana ya nchi. Polisi wanahongeka kiurahisi na kuvujisha siri, Vita vya kiuchumi vinahitaji askari wazalendo na wazalendo wetu ndio hao JWTZ, iwe Tanzanite, korosho au dola, wahahitajika sana
Rubbish,
Takataka tupu!
Ndio uone watu wanavyotofautiana mawazo humu jukwaaniSwafiiii sana walahi
Mzee Mwanakijiji acha unafiki unataka kukosoa nn hapa.Mbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
...mtanyooka tuu, hamna namna !Rubbish,
HahahaMbona maelezo yanaingia kichwani ya kwa Nini Jeshi lilihusishwa. Next!!
Sasa wanyooke kwani wametakatisha mapesa?...mtanyooka tuu, hamna namna !
Wewe kiazi andika BENKI KUU sio unaandika kwa herufi ndogo.....ndio maana unaitwa jinga lao kama kichwa chako kilivyo empty with no brainhongera benki kuu
Alisema R~chuga hadi tutubutu sasa ni mwendo wa ubatizo wa moto chini ya yohana mbatizajiHivi ni arusha tuu ndio kuna maduka ya kubadili fedha ama ni kwamba arusha kuna mzunguko mkubwa wa hela za kigeni ?
Mtajijua wenyewe....hata mkiamua kutumia wale makomandoo wanaopasua matofali kwa vichwa sawa tuJeshi, polisi, magereza, TISS, Mgambo, Uhamiaji na Zimamoto, vyote ni vyombo vya dola kwa maslahi mapana ya nchi. Polisi wanahongeka kiurahisi na kuvujisha siri, Vita vya kiuchumi vinahitaji askari wazalendo na wazalendo wetu ndio hao JWTZ, iwe Tanzanite, korosho au dola, wahahitajika sana
Your right !Nonsense!
Mkuy Melkiory huyo Ni msaga sumu hii jf troll ni ID yake nyingineMsukule upo?? Kibarua chako cha kufua chupi TRA kinaexpire
...rudia kusoma uzi !Sasa wanyooke kwani wametakatisha mapesa?
Hahahaaaa kumbe ni huyu ndoroboooo kabisaMkuy Melkiory huyo Ni msaga sumu hii jf troll ni ID yake nyingine