zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 849
- 222
sasa nyinyi mnahangaika ni nn shida? Mm naona kibubu, au kama pesa zako zinzweza kujaa chumba, chimba nyumba weka. Maana hapo hakuna mlolongo wowote wala makaratasi, huko kote lazima upange foleni na magumashi kibao.
Natamani kukuunga mkono, lakini kila nikifikiria mafuriko kama yale ya December 2011! Mmmh........sipati picha!
Laba kama huishi kuleeeee!!