idiomer
Member
- Aug 15, 2012
- 95
- 56
Kama benk zetu mbili zinazofanya vizuri sokoni zimepata faida maradufu kwa mara ya kwanza na haijawahi tokea..
Je hawaoni sasa ili kuonesha ukubwa na kurudisha gawio kwa wananchi kutoka mikopo kwa riba ndogo hata 10% kwa wafanyakazi??
Faida yao means RIBA ni kubwa pia asilimia 17% ???? Nilitegemea itozwe kwa benki ndogo ila PBZ wana 14% imagine benk ndogo
Je hawaoni sasa ili kuonesha ukubwa na kurudisha gawio kwa wananchi kutoka mikopo kwa riba ndogo hata 10% kwa wafanyakazi??
Faida yao means RIBA ni kubwa pia asilimia 17% ???? Nilitegemea itozwe kwa benki ndogo ila PBZ wana 14% imagine benk ndogo