Huyu bwana mambo aliyofanya ni debatable in one way unaweza elezea mengi mazuri aliyofanya mpaka Rais wa sasa anaingia kuna pesa nyingi sana hazina mpaka akakiri wazi hadharani....in the other hand shutuma zake zinatisha soinatakiwa mtu asiye Bias aongee ukweli wote...Kama kashfa yake inaishia kufanya biasha ikulu na kiwira hiyo kwangu mimi ni kama kajipa tip kwa kazi nzuri..kama inaenda zaidi ya hapohayo mengine thibitisheni jamani beyond reasonable doubt na wengine tupate kuelewa.Chuakachara wewe si mkweli na si mjuzi wa mambo. BWM ndiye aliyesimamisha imara uchumi huu ambao nyinyi nyote including CDM na awamu CCM ya 4 manafaidi. Azimio la Arusha kwenye awamu ya 1 liliua uchumi katika utaifishaji wa mtaji binafsi, soko huria lililofuata wakati wa awamu ya pili liliua kabisa uchumi. Leo hii makampuni yanayoongoza katika kulipa kodi na kuajiri waTanzania wengi ni yale yaliyouzwa wakati wa BWM. Big respect to Ben
NB
Kule kwenye shutuma za Slaa na Josephine tulikuwa tunadai ushahidi basi na hili nalo muwemnakuja na vithibiti no double standard