tutumie akili wanajf!ni kwl bmw kama binadamu alifanya makosa,hata baba wa taifa naye akiwa mbeya alisema na yeye kuna mabaya alifanya,ni jukumu la awamu inayofata kufata mazuri na kupuuza ya hovyo,tabia ya wanajf na wanahabari kuendelea kumshutumu mzee Mkapa jamani tunakosa utu,!nadiriki kusema hakuna kama mkapa mbali na baba wa taifa,nakuhakikishia kama katba ingekuwa inaruhusu ANGESHINDA KWA KISHINDO,