Benjamin William Mkapa Mmakonde asiye na (vision)

mtikila alisema mmalawi,banda wa zambia aliyeangushwa mmalawi,karume marehemu mmalawi sisi wamalawi noma
 
hoja yako haina mantiki/mshiko hivi ukiachana na mkeo au mumeo utawakana na watoto kuwa sio wako? Mkapa kaachana na Urais leo unasema aachane na CCM wapi na wapi?

Chama sio dini wala mke. Alishapata urais . Sasa anataka nini zaidi ya kusaidia jamii akiwa free?
 
Aaagh!! amejimaliza mwenyewe huyo kifutu! kwanza kaondoka vibaya badala ya kuwa mpole awaombe radhi wadanganyika kwa jinsi alivyokiuka maadali ya uongozi yeye anakufa na lichama lake! aombe siku hiyo awe keshakufa tofauti na hivyo lazima ayapate maumivu.
 
mtoa mada hamjui mkapa. MKAPA (KOBE), ni mmakuwa pure baba mmakuwa, mama mmkuwa wote ni wa sehemu moja inaitwa mangaka au nanyumbu wilayani masasi- MTWARA.Jina lenyewe Mkapa ni jina la ukoo wa kimakuwa na maana yake KOBE. hii ni kama kawaida ya watu wa kusini kujiita majina ya wanyama kama vile simba, mapunda, ngonyani, nk.
 
BWM, aliwahi kusema ilani ya uchaguzi ya chama cha CCM haitekelezeki!!! Nashangaa alirudi nzega kuupiga debe!!
 
Back
Top Bottom