hoja yako haina mantiki/mshiko hivi ukiachana na mkeo au mumeo utawakana na watoto kuwa sio wako? Mkapa kaachana na Urais leo unasema aachane na CCM wapi na wapi?
Aaagh!! amejimaliza mwenyewe huyo kifutu! kwanza kaondoka vibaya badala ya kuwa mpole awaombe radhi wadanganyika kwa jinsi alivyokiuka maadali ya uongozi yeye anakufa na lichama lake! aombe siku hiyo awe keshakufa tofauti na hivyo lazima ayapate maumivu.
mtoa mada hamjui mkapa. MKAPA (KOBE), ni mmakuwa pure baba mmakuwa, mama mmkuwa wote ni wa sehemu moja inaitwa mangaka au nanyumbu wilayani masasi- MTWARA.Jina lenyewe Mkapa ni jina la ukoo wa kimakuwa na maana yake KOBE. hii ni kama kawaida ya watu wa kusini kujiita majina ya wanyama kama vile simba, mapunda, ngonyani, nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.