Benjamin William Mkapa Mmakonde asiye na (vision)

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kwako Retired State Man!
nimekuwa nikikufatilia mara nyingi sana lakini kwa wakati wangu binafsi,
ulimaliza muda wako wa kuwaongoza watanzania kwa miaka 10,tulikuaga kwa heshima kabisa na ukakabidhi nchi kwa yule mwenzio,
nachojua maana hasa ya Retired State Man ni mtu aliyeongoza nchi yake vizuri na kuachana kabisa na shughuli za kisiasa baada ya kusataafu,
sababu kubwa inayomfanya huyo Man kuachana na siasa ni demokrasia zaidi,mataifa mengi kama lakwetu yana siasa za vyama vingi,hao Satate Man wanajiondoa kwenye vyama vya siasa ili wapewe heshima na wananchi wao ya kuitwa baba wa taifa.
Mkuu! State Man ni watu wenye life exprience kubwa sana na wanastahili kuitwa father of nation,unahitajika sana kwenye mambo mengi ya ushauri au tuite consultant
kinachonishangaza ni pale unapojisahau na kuendelea kupiga debe kwenye chama lako lile lile na kuwaacha wanachi wa vyama vingine ambao ulikuwa unawaongoza wote bila kujali itikadi ya kisiasa,
kwa vyovyote vile huna vision,kwa hilo siwezi kukuonea huruma,kama hao wenzio wanashindwa kukushauri sisi hatutakaa kimya,
inaonekana una background mbovu sana ya wizi wakati wa uongozi wako,hiyo ndiyo sababu kubwa kabisa inayokufanya uendelee kung'ang'ania hilo chama lako
unakumbuka jangwani mwaka jana kwenye kufunga kampeni za ccm uliwaita wapinzani vikokoto?unakumbuka??
unakumbuka ulivyoumbuka igunga eti RETIDE STATE MAN anapambana na watu wake?
hivi una akili wee mzee?hivi unafikiri unaheshimika kwa watanzania??exprience uliyoipata ikulu iko wapi??kubishana kwenye vyama vya siasa au kutoa ushauri kwenye vyama vya siasa??
 
mwacheni shemeji yangu,akili zake fupi zinatokana na umbile lake fupi,hana issue yule mzee
 
Director1, hapa nadhani una point muhimu kabisa..tuijadili kwa busara kwa mustakabali wa taifa letu dhidi ya hawa mafedhuli na wanyang'anyi wakubwa wa utajiri wetu pamoja na demokrasia yetu changa..
 
Fisadi ndio maana anasema wapinzani ni kokoto. hawezi kuwasifia hata siku 1 kwani anajua cku wapinzani wakichukua nchi basi makao yake yatakua segerea, ukonga au keko kwenye geto za magereza
 
Director1, hapa nadhani una point muhimu kabisa..tuijadili kwa busara kwa mustakabali wa taifa letu dhidi ya hawa mafedhuli na wanyang'anyi wakubwa wa utajiri wetu pamoja na demokrasia yetu changa..

kama unakuwa Rais wa watu wote kwa nini usijitoe kwenye siasa na kuitwa father of nation??lazima hilo liwekwe wazi
 
Fisadi B W Mpaka ni sawa na Kikwete kwa Ufisadi. Mimi simfagili Mkapa wala Kikwete wote hao ni Majambazi wanaotuibia Rasilimali zetu kwa kisingizio cha uuwekezaji. Tunakata Nchi yetu tuiongoze sisi wenyenwe watanzania sio Wahuni wanatuibia rasilimali zetu
 
Fisadi ndio maana anasema wapinzani ni kokoto. hawezi kuwasifia hata siku 1 kwani anajua cku wapinzani wakichukua nchi basi makao yake yatakua segerea, ukonga au keko kwenye geto za magereza

Mkuu Hawa Mafisadi lazima wakanyee debe siku ambayo nchi yetu itakapokuwa chini ya Wananchi. Mkapa, Kikwete, Lowassa, Chenge, Mramba, Rostam na list bado inaendelea lazima wakanyeeeeee debe, pumbavu zao
 
Tunaanza kukashifiana kiukabila sasa hapa kwenye jamii forum? Tutafika kweli??

Mods kwanini wasiingilie kidogo kidogo jamii forum itakuwa ndio chombo cha kuanzisha chuki kwa watanzania ambapo kilikuwa ni chombo cha kusitiri uhuru wa kujieleza.

Siipendi ccm lakini jamani kubaguana kiukabila sasa kukianza tanaelekea kubaya sana... Na naipenda jamii forum nachangia kutaka iendelee sababu nadhani ina sauti nzuri za umma...

Lakini sasa kubaguana kiukabila inanitisha... Naogopa
 
Du ili nalo ni bao la kisigino naona mnaibua hoja ya Msingi kuwa MARAIS NA MAWAZIRI WAKUU WASTAAFU [retired states Man] sasa imefika wakati wabebe bango la UTAIFA na SIO BANGO LA CHAMA CHAO CHA CCM.Hakika hapa mkuu umenena.Tuanze kuwaangalia mawaziri wakuu na marais wakuu wakizungumza na umma [Public] wasizungumze na KOFIA YA CHAMA CHA MAPINDUZI wazungumze kwa kofia ya Taifa.

Wakizungumza kuhusu Nchi wazaungumze Public lakini kuhusu maslahi ya chama chao wazungumze kwenye vikao vyao.
 
hii point ni ya kufungia mwezi
jamani ni kwa nini Rais mstaafu ajihusishe na siasa?
kwani alikuwa Rais wa ccm peke yake?mimi naona kama ni kutokufikiria mbali
 
Tunaanza kukashifiana kiukabila sasa hapa kwenye jamii forum? Tutafika kweli??

Mods kwanini wasiingilie kidogo kidogo jamii forum itakuwa ndio chombo cha kuanzisha chuki kwa watanzania ambapo kilikuwa ni chombo cha kusitiri uhuru wa kujieleza.

Siipendi ccm lakini jamani kubaguana kiukabila sasa kukianza tanaelekea kubaya sana... Na naipenda jamii forum nachangia kutaka iendelee sababu nadhani ina sauti nzuri za umma...

Lakini sasa kubaguana kiukabila inanitisha... Naogopa

Mkuu, hapa umenena vema..
huyu mtu anatakiwa kuitwa muuwaji na siyo mkabila!! alifanya mauwaji mengi kipindi chake cha kwanza cha utawala..aliuwa watu wengi both physically and psychologically!!
Yes I said.. and it's a truth
 
wewe kichwa cha nazi origino, katiba yetu inatamka wazi kwamba hatuna wagombea binafsi bali wote watagombea kupitia chama wewe hulioni hilo unasema mkapa ajitenge na chama chake kilichomsimamisha kugombea nafsi ya Urais.




Kwako Retired State Man!
nimekuwa nikikufatilia mara nyingi sana lakini kwa wakati wangu binafsi,
ulimaliza muda wako wa kuwaongoza watanzania kwa miaka 10,tulikuaga kwa heshima kabisa na ukakabidhi nchi kwa yule mwenzio,
nachojua maana hasa ya Retired State Man ni mtu aliyeongoza nchi yake vizuri na kuachana kabisa na shughuli za kisiasa baada ya kusataafu,
sababu kubwa inayomfanya huyo Man kuachana na siasa ni demokrasia zaidi,mataifa mengi kama lakwetu yana siasa za vyama vingi,hao Satate Man wanajiondoa kwenye vyama vya siasa ili wapewe heshima na wananchi wao ya kuitwa baba wa taifa.
Mkuu! State Man ni watu wenye life exprience kubwa sana na wanastahili kuitwa father of nation,unahitajika sana kwenye mambo mengi ya ushauri au tuite consultant
kinachonishangaza ni pale unapojisahau na kuendelea kupiga debe kwenye chama lako lile lile na kuwaacha wanachi wa vyama vingine ambao ulikuwa unawaongoza wote bila kujali itikadi ya kisiasa,
kwa vyovyote vile huna vision,kwa hilo siwezi kukuonea huruma,kama hao wenzio wanashindwa kukushauri sisi hatutakaa kimya,
inaonekana una background mbovu sana ya wizi wakati wa uongozi wako,hiyo ndiyo sababu kubwa kabisa inayokufanya uendelee kung'ang'ania hilo chama lako
unakumbuka jangwani mwaka jana kwenye kufunga kampeni za ccm uliwaita wapinzani vikokoto?unakumbuka??
unakumbuka ulivyoumbuka igunga eti RETIDE STATE MAN anapambana na watu wake?
hivi una akili wee mzee?hivi unafikiri unaheshimika kwa watanzania??exprience uliyoipata ikulu iko wapi??kubishana kwenye vyama vya siasa au kutoa ushauri kwenye vyama vya siasa??
 
kichwa cha nazi kwelikweli wewe sijui uko nchi gani hata marekani uliwaona akina Bill clinton wakikampeni kumsaidia Obama na Uingereza ni hivyo hivyo.... wewe ni kichwa cha dafu nilikupendelea hapo mwanzo
 
Mkapa hakwenda Igunga kama Rais mstaafu bali kama mwenyekiti wa CCM mstaafu bado hulioni hilo weee ndiye nazi zaidi kuliko mkapa
 
hoja yako haina mantiki/mshiko hivi ukiachana na mkeo au mumeo utawakana na watoto kuwa sio wako? Mkapa kaachana na Urais leo unasema aachane na CCM wapi na wapi?
 
hoja yako haina mantiki/mshiko hivi ukiachana na mkeo au mumeo utawakana na watoto kuwa sio wako? Mkapa kaachana na Urais leo unasema aachane na CCM wapi na wapi?

lakini mkuu ebu fikiria kidogo
kuna kitu kasema pale juu kuhusu jangwani mkapa aliwaita wapinzani vikokoto,kwa mtazamo wangu hawa marais wetu wa africa hawafikirii,kwa sababu alikuwa rais wa wote lakini leo anawatukana tena,unaionaje hiyo?
 
usivyo na akili unawatukama na watanzania wenzeti wamakonde kwa sababu tu ya mkapa wamekukosea nini? huoni kwamba wewe ni mbaguzi na mkabila? Mkapa ni mmakua wawabeza na kuwapuuza ninii wamakonde?
 
Back
Top Bottom