Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri wakiona wenzao wanafanya kazi wanachukulia kirahisi na kuona wao wanaweza kufanya vizuri zaidi. Mkapa alikuwa mchapakazi sana na ana uwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi. Kilichotokea wanamtandao wakadhani wao wanauwezo zaidi na wakabeza aliyofanya Ben. leo wako wapi? Angalia deni la taifa, Ben alilipunguza sana na nchi ikawa inakopesheka. leo deni linatisha. Tunarudi kule kwa mwinyi ambapo Tz hatutakopesheka tena.