Benefits za female masturbation:

Benefits za female masturbation:

giftedlady

Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
7
Reaction score
1
Nimekuwa observing member siku nyingi sana nimeona leo nishare na wanajamii jambo moja.

Jamii nyingi imekuwa ikitufundisha kuwa masturbation ni mbaya , naomba niweke baadhi ya maelezo ya kwanini kujitathmini mwili kama mwanamke ni kuzuri na kunaweza kudumisha mapenzi/ndoa.

Mapokeo: Jamii nyingi na makuzi yetu yametuaminisha kuwa ili mwanamke aridhike ni lazima kuwe na intercourse na lazima afanyiwe hivyo na mwanaume. Lakini ukweli ni kuwa kuna wanawake wengi sana wanapata orgasm bila ya kuwa penetrated na mwanaume. Kumbe clitoris ya mwanamke ama ajishike mwenyewe au ashikwe na mtu ni sehemu kubwa sana inayomfanya aridhike ipasavyo. Hivyo mwanamke ni vyema yeye pia ajipapase ajue maeneo yake muhimu na nerve ending zake zipo wapi –just a body exploration experience wakati wa kuoga, wa kulala ni muhimu kwani unaweza hata kumguide mwenza wako wakati wa tendo. Tabu kubwa tu ni wanawake hasa kwetu afrika tumelelewa kwa kuamini kuwa hata kujigusa ni dhambi.
Tafiti mbalimbali (unaweza soma kitabu cha Elison: Sex: A natural history , au cha Suzie Holmes “ Sex and Marriage wanaeleza mambo mengi juu ya mwanamke kuweza kuexplore mwili wake, kuclimax akiwa mwenyewe.
NB: Siongelei dildo hapa
Kuna benefits unaweza kupata kwa kufanya masturbation

  • Inakusaidia ubalance hormone na kupata usingizi murua ; kumbuka umepunguza nyege, umeclimax hivyo mood yako, na mwili wako umerelax vema hivyo usingizi huwa mzuri
  • Inamsaidia mwanamke kuwa na mzunguko mzuri wa damu; Kumbuka masturbation kufanya nerve ziwe stimulated na blood flow iende sawa hasa kwenye clitoral parts. Hivyo indirectly hupunguza uwezekano wa magonjwa ya moyo.
  • Inasaidia kuongeza nguvu ya pelvic floor (sijui Kiswahili sahihi) ila tunajua kina dada wengi wanakuwa na tension chini ya kinena (hata kama anasex kila siku) hivyo akiweza kuorgasm vema hupunguza pelvic stress
  • Muhimu sana huongeza “ our self love” au self relationship: Hakuna raha kama kujigusa , kujijua na kujitathimi kuwa mhhh hapa kweli mwili wangu upo fiti na mume au mpezi nitamwambia ashike hapa na hivi na anyonye hapa (kumbuka this doesn’t involve the use of artificial dildos)
  • Inaongeza mahusiano yetu na kina baba: kumbuka si kila saa mwanaume anawez akukuridhisha na hakuna wa hivyo duniani (ukiwa na experience ya muda kwenye ndoa u will understand) –kuna muda mpo stressed na kazi au mwenzio ana tension, tafadhali kina dada msiwaze kwenda nje , just give yourself self pleasure na kama mpo intimate unaweza kumasterbate mbele yake ili naye akusaidie kunitensify orgasm ; Binafsi huwa namasterbate na mume wangu anajua kuwa akisafiri , akiwa stressed na kazi I do that; na one of our fatasties mara moja moja I do it with him just before we start our intimate sexual encounters.
  • Cha muhimu hapa ni : know your body, Love your body, please it, tell your patner to intensify that pleasure utaona mabadiliko sana kwenye mood, self confidence , blood flow na mahusiano yako –Please no didlos involved just a soft caressing of your nipples, clitoris , mapaja : Its simply heavenly !!
 
Si juzi tu mwenzako kaleta? Hebu pekua kabla ya kujaza seva basi.
 
okey no didos..... kweli benefits ni nyingi ila kujifanyia masterbation naona kama ni kazi
 
Tafuta mwanaume (mume) achana na ngono zisizo za asili ni dhambi.
 
Nimekuwa observing member siku nyingi sana nimeona leo nishare na wanajamii jambo moja.

Jamii nyingi imekuwa ikitufundisha kuwa masturbation ni mbaya , naomba niweke baadhi ya maelezo ya kwanini kujitathmini mwili kama mwanamke ni kuzuri na kunaweza kudumisha mapenzi/ndoa.

Mapokeo: Jamii nyingi na makuzi yetu yametuaminisha kuwa ili mwanamke aridhike ni lazima kuwe na intercourse na lazima afanyiwe hivyo na mwanaume. Lakini ukweli ni kuwa kuna wanawake wengi sana wanapata orgasm bila ya kuwa penetrated na mwanaume. Kumbe clitoris ya mwanamke ama ajishike mwenyewe au ashikwe na mtu ni sehemu kubwa sana inayomfanya aridhike ipasavyo. Hivyo mwanamke ni vyema yeye pia ajipapase ajue maeneo yake muhimu na nerve ending zake zipo wapi –just a body exploration experience wakati wa kuoga, wa kulala ni muhimu kwani unaweza hata kumguide mwenza wako wakati wa tendo. Tabu kubwa tu ni wanawake hasa kwetu afrika tumelelewa kwa kuamini kuwa hata kujigusa ni dhambi.
Tafiti mbalimbali (unaweza soma kitabu cha Elison: Sex: A natural history , au cha Suzie Holmes " Sex and Marriage wanaeleza mambo mengi juu ya mwanamke kuweza kuexplore mwili wake, kuclimax akiwa mwenyewe.
NB: Siongelei dildo hapa
Kuna benefits unaweza kupata kwa kufanya masturbation

  • Inakusaidia ubalance hormone na kupata usingizi murua ; kumbuka umepunguza nyege, umeclimax hivyo mood yako, na mwili wako umerelax vema hivyo usingizi huwa mzuri
  • Inamsaidia mwanamke kuwa na mzunguko mzuri wa damu; Kumbuka masturbation kufanya nerve ziwe stimulated na blood flow iende sawa hasa kwenye clitoral parts. Hivyo indirectly hupunguza uwezekano wa magonjwa ya moyo.
  • Inasaidia kuongeza nguvu ya pelvic floor (sijui Kiswahili sahihi) ila tunajua kina dada wengi wanakuwa na tension chini ya kinena (hata kama anasex kila siku) hivyo akiweza kuorgasm vema hupunguza pelvic stress
  • Muhimu sana huongeza " our self love" au self relationship: Hakuna raha kama kujigusa , kujijua na kujitathimi kuwa mhhh hapa kweli mwili wangu upo fiti na mume au mpezi nitamwambia ashike hapa na hivi na anyonye hapa (kumbuka this doesn't involve the use of artificial dildos)
  • Inaongeza mahusiano yetu na kina baba: kumbuka si kila saa mwanaume anawez akukuridhisha na hakuna wa hivyo duniani (ukiwa na experience ya muda kwenye ndoa u will understand) –kuna muda mpo stressed na kazi au mwenzio ana tension, tafadhali kina dada msiwaze kwenda nje , just give yourself self pleasure na kama mpo intimate unaweza kumasterbate mbele yake ili naye akusaidie kunitensify orgasm ; Binafsi huwa namasterbate na mume wangu anajua kuwa akisafiri , akiwa stressed na kazi I do that; na one of our fatasties mara moja moja I do it with him just before we start our intimate sexual encounters.
  • Cha muhimu hapa ni : know your body, Love your body, please it, tell your patner to intensify that pleasure utaona mabadiliko sana kwenye mood, self confidence , blood flow na mahusiano yako –Please no didlos involved just a soft caressing of your nipples, clitoris , mapaja : Its simply heavenly !!
shetani la ngono linakutesa dadangu, si ajabu ulishaolewaga na majini mahaba bila wewe kujua, kuna siku utakuja kuniambia juu ya haya ninayokwambia. unahitaji maombi sana.
 
Hamna cha shetani wala nini: Soma vizuri uelewe; Wapi pameandikwa dhambi; Ndio ule unafiki tulionao, wakati wengi tu wanafanya hata wanaume hujisugua sugua hata wakiwa usingizini. And i still enjoy sex , all depends with your perception!
 
Tafuta mwanaume (mume) achana na ngono zisizo za asili ni dhambi.

Umesoma vema line by line au unakurupuka tu ? nani kakwambia sina mwanaume? Tatizo we fake soo much --most women do it and enjoy it but dont say !!
 
Umesoma vema line by line au unakurupuka tu ? nani kakwambia sina mwanaume? Tatizo we fake soo much --most women do it and enjoy it but dont say !!
stop doing it, its sinful, whether you say it when you do or dont say, it is still religiously and socially unacceptable.
 
stop doing it, its sinful, whether you say it when you do or dont say, it is still religiously and socially unacceptable.

Stopping -hell no I wont cause its my body; Kama we hutaki usifanye; who said its socially unaceptable? Is sex socially acceptable? Which bible verse/ Quran said its sin? if you believe so then dont practise --Hujaelewa mada hapa naona
 
Back
Top Bottom