Ni wazı kwamba Magufuli atapata wakati mgumu sana kupga kampenı Arusha na Kılımanjaro.Lakinı wenyejı wanatakiwa kuwa makini wasilete fujo ambazo zitajenga feelings za uzalendo kuendana na maeneo watokayo wagombea.
Hahahahahha CCM mnachonifurahisha ni pale mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka, kwahiyo mnataka kuwaonesha tunawachukia tuzichome moto ili mtukamate tusipige kura? Hasira zetu dhidi ya CCM tumezihifadhi mtaziona tarehe 25 Oktoba zimebaki siku 31 tu subirini hukumu yenu
Ni Arusha gani hiyo? Labda sio hii niliyopo mimi.
Bendera zenyewe zinapandishwa usiku!!! Vijana wanapewa mtonyo ndio wanazipandisha!!! Hahahahahaaaa
Mweleze ukweli Arusha sisi sio wana taarabu bendera zenu tunaziona kama feni tu. Acheni zitupepee kipindi hiki cha jua kali. Baadaye zitageuka madekio ya kudekia barabara EDO apite.
Wacha zitupepee hatujazoea joto hukuWanahangaika bure kwani bendera zinapiga kura?
mbona mnapenda sana kuhusisha mgombea na ukanda? Hapa AR CCM ilisha kataliwa siku nyingi hata kabla ya ujio wa Lowasa.
Ulizia wakazi wa hapa! Nini kinachojiri! Bendera za CCM zinapepea kila mahali Arusha! Hata Pale Central Police kuna picha za mgombea wa CCM, na bendera za CCM, lakini CHADEMA ndio chama tawala Arusha! MABANGO na BENDERA za CCM ARUSHA, zipo kwa ajili tu, CCM na Serikali yake wanawatumia Polisi kukuyalinda mchana kutwa, na usiku kucha! Ila watu hawako Radhi kuona CCM ikitamba Hapa mjini kwetu!!! Madiwani wote watakuwa wa CHADEMA, Na Mbunge atakuwa wa CHADEMA! Nina uhakika!
Mimi Binafsi niko tayari kwa VITA!!!!
Ni kweli ziko maeneo mengi ya mji ila hiyoo haimaanishi kuwa ccm ndio kila kitu hapa,wasubirie oct 25 tu ndio tutaoata majibu halisi ya nn maaana ya kuwa na bendera mingi hvyoNi mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Ni Arusha gani hiyo? Labda sio hii niliyopo mimi.
Feruzi mwenyewe karibia anajiunga na chadema,nyie mnababaika na bendera!.Safari hii Arusha hata kata moja hamptati.Sana sana amepata muda wa kuzunguka mjini na cruiser huku zikiwa na speaker na picha lakini mikutano hawana pa kufanyia zaidi ya pale Narenaro kwa wauza mirungi
Nakumbuka zile 4:0
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.