Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Baby ni wewe tu umebakia kupambana jiulize wale ulioenda nao Amboni wako wapi?
Hivi kweli wapo wapi....?......unajua siwaoni kabisa.......hebu niambie........
Baby ni wewe tu umebakia kupambana jiulize wale ulioenda nao Amboni wako wapi?
Kipindi cha Chadema asilia usingiweza kuona bendera za CCM mtaani lakini mambo yamebadilika
Hivi kweli wapo wapi....?......unajua siwaoni kabisa.......hebu niambie........
Mimi nimeshangaa kuziona bendera za ccm zinapepea sekei na philips iliyokuwa kambi ya chademaNinavyofahamu CCM Arusha ilishazikwa siku nyingi, Hizi Bendera huwa zinawekwa usiku wa manane, na walinzi wanawekwa kuzilinda 24/7 .. Kuna sehemu moja pale mwanzo wa barabara ya kuelekea SOMBETINI, NGUSERO, kuna kituo cha bodaboda, karibu na baa ya EMAYANI.
Kile kituo cha BODABODA, kimefungwa, madereva toyo waliokuwa pale wamekimbia, wengine wako LOCKUP mpaka sasa! baada ya kughasiwa na Polisi, eti kisa kuna karatasi ilitokuwa na TANGAZO la chagua MAGUFULI lilibandikwa pale kituoni kwao likachanwa na wahuni! ARUSHA sio mahali salama kwa CCM!
Ngastuka ndio msemo wao ...wamechill kuona vimeo wakijichanganya!
Sio mafala !
Basi sawa.........sasa nitafanyaje........
Nashukuru kwa kunifuatilia...mimi napenda kuripoti ukweli...wewe uko Arusha unaonaje hali ya jiji?
Bendera kazi yake deki wazimwage tuu raia wapigie deki barabara kumpokea el
Arusha na wakazi wake wanajitambua
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Hahahahahha CCM mnachonifurahisha ni pale mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka, kwahiyo mnataka kuwaonesha tunawachukia tuzichome moto ili mtukamate tusipige kura? Hasira zetu dhidi ya CCM tumezihifadhi mtaziona tarehe 25 Oktoba zimebaki siku 31 tu subirini hukumu yenu