haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 485
- 138
Jadili hoja na siyo kuleta matusi!!!
Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Walete hadi Mbulu walipotuwekea mgombea alieishia darasa la 4,na juzi katoa kali ya mwaka baada ya kusema ametumikia jeshi miaka 5
Ulizia wakazi wa hapa! Nini kinachojiri! Bendera za CCM zinapepea kila mahali Arusha! Hata Pale Central Police kuna picha za mgombea wa CCM, na bendera za CCM, lakini CHADEMA ndio chama tawala Arusha! MABANGO na BENDERA za CCM ARUSHA, zipo kwa ajili tu, CCM na Serikali yake wanawatumia Polisi kukuyalinda mchana kutwa, na usiku kucha! Ila watu hawako Radhi kuona CCM ikitamba Hapa mjini kwetu!!! Madiwani wote watakuwa wa CHADEMA, Na Mbunge atakuwa wa CHADEMA! Nina uhakika!Mimi nimeshangaa kuziona bendera za ccm zinapepea sekei na philips iliyokuwa kambi ya chadema
Waulize CCM walikuwa wapi hadi sasa? Safi sana watapata kura zitakazipigwa na hizo benderaBendera ni ishara muhimu !
Kabla ya leo hatukuzowea kuona bendera za ccm Arusha.
Niko Arusha mbona sizioni
halafu bulembo kasema hawana shida na kura za kaskazini....sijui kwa nini bado mnajipendekeza??
Ulizia wakazi wa hapa! Nini kinachojiri! Bendera za CCM zinapepea kila mahali Arusha! Hata Pale Central Police kuna picha za mgombea wa CCM, na bendera za CCM, lakini CHADEMA ndio chama tawala Arusha! MABANGO na BENDERA za CCM ARUSHA, zipo kwa ajili tu, CCM na Serikali yake wanawatumia Polisi kukuyalinda mchana kutwa, na usiku kucha! Ila watu hawako Radhi kuona CCM ikitamba Hapa mjini kwetu!!! Madiwani wote watakuwa wa CHADEMA, Na Mbunge atakuwa wa CHADEMA! Nina uhakika!
Mimi Binafsi niko tayari kwa VITA!!!!
Bendera zenyewe zinapandishwa usiku!!! Vijana wanapewa mtonyo ndio wanazipandisha!!! Hahahahahaaaa
Sambazeni sana hayo mabendera yenu ila mjue hayo ndo yanawatia hasira wananchi. Arusha ccm mnajifurahisha tuu.