Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Alikuwa ni Team lowassa akajiengua.lakini Bendera zimesambaa pampja na yeye kujiondoa ...think big my friend!
We ndio bure kabisa ..kwani bendera ndio kipimo
Alikuwa ni Team lowassa akajiengua.lakini Bendera zimesambaa pampja na yeye kujiondoa ...think big my friend!
Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila konaNi mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.
Kwa arusha na moshi kwakweli ni kama hakuna ccm watu wasijdanganye kabsa katka watu 100 ccm labda ni 2 kutumia bendera kama kipmo ni ujinga.. basi ACT kingekua chama kikuu Tz cz kimejaza bendera kila kona
Lema amefanya mikutano wapi zaidi ya Soko kuu na Stand ??
Ole wao, wangejua hizo bendera zinavyowaongezea watu hamasa na hasira ya kuitoa CCM madarakani! Lakini ndio hivyo tena sikio la kufa kwani linasikia dawa?Ni mkakati wa kipekee wa Timu ya kampeni ya CCM jijini Arusha.Bendera za CCM zimesambaa Arusha nzima hasa hasa barabara ya Moshi-Arusha.