Bendera za CCM zaiteka Arusha

Bendera za CCM zaiteka Arusha

Kupata kichekesho kingine kama hiki, andika neno IT MASAKI tuma kwenda 15767.

Mchambuzi ni swahiba sana wa siasa za Arusha mwaka huu tarajia maumivu lakini usikatishwe tamaa Arusha ina utamaduni wa kubadilisha vyama.
 
Surua: katika wale 25% wa Lowasa kwenye poll ya twaweza, zaidi ya nusu wanatoka Kilimanjaro na Arusha. Waliobaki ni Udasa na Mbeya na Mwanza mjini, wengi wao wafanyabiashara kutoka kanda ya Kaskazini.

safari hii mikoa ya kusini tunataka kuionyesha ccm kwamba tumeamka.subirini oktoba 25.
 
Shinyanga mjini nguzo za umeme karibu zote wameweka bendera za ccm
 
Mm naomba suala la waislam hawaipendi ccm au chadema Act na vyama vingine vinavyoshiriki msirudie kuwa wasemaji wa waislam tena waislam wana akili timam sio watu wakuburuzwa wanajuwa wanafanya nn
 
Meningitis is a relatively rare infection that affects the delicate membranes -- called meninges (men-in'-jeez) -- that cover the brain and spinal cord. Bacterial meningitis can be deadly and contagious among people in close contact.

Hilo nalo neno!!
 
Kwani bendera zinasaidia nini?
Au zinapiga kura hizo bendera?
Kama wapiga kura 90% ni Chadema uwingi wa bendera unawasaidia nini ccm?
 
Kwani bendera zinasaidia nini?
Au zinapiga kura hizo bendera?
Kama wapiga kura 90% ni Chadema uwingi wa bendera unawasaidia nini ccm?
Unamjua mshindi wa uchaguzi wa serikali za mitaa Arusha?Takwimu hamna amnabaki na porojo.
 
Sambazeni sana hayo mabendera yenu ila mjue hayo ndo yanawatia hasira wananchi. Arusha ccm mnajifurahisha tuu.
Inamaana Arusha kuna Chama cha kikabila au ukoo ambako hata vyana vingine vifanye nini havina uhalali wa kupita?
 
Kijana muongo sanaaa mbona mm napita sanaaa hiii road hakuna kitu kam unachosema acha kudangaya duuuuh weeeee nomaaaaaaaa
 
Kama bendera na mabango yatapiga kura ccm hamuhitaji bao la mkono

Ndele likikubali basi mhanga huwa hajitambui. Lakini na ndele zote alizofundishwa na bwana mahaba, Roho Mtakatifu anaendelea kuzitibua akibadilisha uteka siku baada ya siku. Kwa wasiojua; ndele ni dawa ya mahaba wanayoitumia waganga ili mtu kuvutika kwa mtu mwingine bila utashi wake. inaweza kupulizwa hewani au kupakawa kwenye kitu chochote na mhanga akikumbana nacho ndo anakuwa ktkt mahaba mazito. hatambui wala hasikii. Hilo sisi wacha Yahu tunalishughulikia Ni uchawi m-baya sana. Haleluyahu
 
CCM ipo katika hatua za mwisho za urushaji mateke ya kukata roho,dalili ni nyingi,Push ups katika mikutano ya Siasa,Tafiti tata za Twawezwa na REJECT,iga iga ya kauli mbiu,ahadi danganya toto zisizohesabika wala kutekelezeka,Kuandaa matamasha badala ya mikutano,nunua nunua ya Viongozi wasaliti na Wasanii mizigo wakati wana Mabadiliko ni Wananchi ambao hawanunuliki,sombasomba ya wanachama na wasio wanachama kwa malori na mabasi,honga honga ya fedha,kanga,vitenge,Tshirts na Kofia,kejeli na matusi kwenye majukwaa ya Siasa,kusambaratika kwa timu ya watu 32 ya Kampeni ya CCM,n.k!Wana UKAWA tunasema ‪#‎HapaZikaTu‬!..Lowassa TOSHA KABISA!!
 
Ndele likikubali basi mhanga huwa hajitambui. Lakini na ndele zote alizofundishwa na bwana mahaba, Roho Mtakatifu anaendelea kuzitibua akibadilisha uteka siku baada ya siku. Kwa wasiojua; ndele ni dawa ya mahaba wanayoitumia waganga ili mtu kuvutika kwa mtu mwingine bila utashi wake. inaweza kupulizwa hewani au kupakawa kwenye kitu chochote na mhanga akikumbana nacho ndo anakuwa ktkt mahaba mazito. hatambui wala hasikii. Hilo sisi wacha Yahu tunalishughulikia Ni uchawi m-baya sana. Haleluyahu

Wewe inaelekea hata huyo Roho Mtakatifu unamsikia tu humjui. Kila ajikwezae atashushwa naye ajinyenyekezae hukwezwa. Umekuwa farisayo!

Huna cha Yahu wala nini, kuwadi wa mafisadi tu wewe! Unatumika vibaya.

Kumbuka tu (kama unajua) "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi, kwa maana kile apandacho mtu, ndicho atakachovuna." Ni wakati wa mavuno.
 
Back
Top Bottom