Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,588
- 28,752
Only in Tanzania......
Hii ndo serikali ya ccm.. Wameshauuza tayari. Hivi term hii nani kakamatwa na unga kule.
Bendera iliyopandishwa pale ilikua ku-symbolize pride na value zetu kama taifa.
Leo China wanapandisha pale kwa reason zipi zenye ushawishi kwa maslahi ya nchi na bara la Afrika?
Kwa kuzingatia malengo ya kupandisha bendera yetu siku ya uhuru,now our sovereignity as a state is at stake !
Hii ndo serikali ya ccm.. Wameshauuza tayari. Hivi term hii nani kakamatwa na unga kule.
vyovyote iwavyo mkuu , lakini hakuna uhalali wowote kwa bendera ya china kupandishwa kwenye mlima wetu .
yes our sovereignity as a state is now at stake huku kwetu tunaita ari zaidi ,nguvu zaidi na kasi zaidi eeh! mungu tusaidie hivi ni sehemu gani ya China ukitoa ubalozi unaweza kupandisha bendera ya TZ!Bendera iliyopandishwa pale ilikua ku-symbolize pride na value zetu kama taifa.
Leo China wanapandisha pale kwa reason zipi zenye ushawishi kwa maslahi ya nchi na bara la Afrika?
Kwa kuzingatia malengo ya kupandisha bendera yetu siku ya uhuru,now our sovereignity as a state is at stake !