Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Wana JF naamini hamjambo!
Kwasababu JF ni kisima cha maarifa, na ni jukwaa la great thinkers naomba mnisaidie jambo moja.
leo katika matangazo radio clouds wamesema kesho bendera ya China inapandishwa mlima Kilimanjaro? Jambo hili limenistua nikawa na maswali mengi baadhi ni Kama yafuatayo:-
- Je inapandishwa huko kufanya nini? For every reaction there is equal and opposite reaction. Sasa malengo hasa ni nini?
- Baba wa Taifa kupitia baba yetu Marehemu Nyirenda alipandisha bendera ya TZ kwa ajili ya UMOJA, AMANI, UTULIVU nk
- Kwenye ulimwengu wa Roho hili jambo lina maana yake. Basi mpango wowote muovu Mungu aubatilishe, TZ ni ya watanzania.
- Na Kama mpango ni mzuri na utakuwa na faida kwa watanzania basi na usimame.
- Kama kuna viashiria vyovyote vya ushirikina basi basi Mungu avibatilishe. miungu ya kigeni hatuitaki TZ.
Kama nimekosea basi nisamehe na panapohitaji marekebisho au mchango basi UZALENDO wako utumike.
Queen Esther
Kwasababu JF ni kisima cha maarifa, na ni jukwaa la great thinkers naomba mnisaidie jambo moja.
leo katika matangazo radio clouds wamesema kesho bendera ya China inapandishwa mlima Kilimanjaro? Jambo hili limenistua nikawa na maswali mengi baadhi ni Kama yafuatayo:-
- Je inapandishwa huko kufanya nini? For every reaction there is equal and opposite reaction. Sasa malengo hasa ni nini?
- Baba wa Taifa kupitia baba yetu Marehemu Nyirenda alipandisha bendera ya TZ kwa ajili ya UMOJA, AMANI, UTULIVU nk
- Kwenye ulimwengu wa Roho hili jambo lina maana yake. Basi mpango wowote muovu Mungu aubatilishe, TZ ni ya watanzania.
- Na Kama mpango ni mzuri na utakuwa na faida kwa watanzania basi na usimame.
- Kama kuna viashiria vyovyote vya ushirikina basi basi Mungu avibatilishe. miungu ya kigeni hatuitaki TZ.
Kama nimekosea basi nisamehe na panapohitaji marekebisho au mchango basi UZALENDO wako utumike.
Queen Esther