ccm ni Chama kimoja kati ya vingi hapa Nchini japokuwa ni tawala.
Kuchoma bendera yake tena mbele ya vyombo vya dola ni utovu wa hali ya juu wa nidhamu, na ni kinyume kabisa na maadili ya Mtanzania. Nina hakika tukio hili halifahamiki na Watanzania walio wengi kwani lingelaaniwa hadharani. Ila hii ni changamoto kwamba kuna pengo la elimu sahihi kwa kundi hili. Ni jukumu la Watanzania wote bila kujali itikadi zao kulikemea hili kwa hali na mali tusije tukajikuta katika dimbwi la utawala usio wa sheria na wa kutovumiliana. Hakuna ubabe katika siasa unaoleta maendeleo bali nguvu ya hoja pekee.
Kuchoma bendera yake tena mbele ya vyombo vya dola ni utovu wa hali ya juu wa nidhamu, na ni kinyume kabisa na maadili ya Mtanzania. Nina hakika tukio hili halifahamiki na Watanzania walio wengi kwani lingelaaniwa hadharani. Ila hii ni changamoto kwamba kuna pengo la elimu sahihi kwa kundi hili. Ni jukumu la Watanzania wote bila kujali itikadi zao kulikemea hili kwa hali na mali tusije tukajikuta katika dimbwi la utawala usio wa sheria na wa kutovumiliana. Hakuna ubabe katika siasa unaoleta maendeleo bali nguvu ya hoja pekee.