Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

Ni kweli unachosema hata ukiangalia CV ya Lema imejaa utata mtupu.

Dr Slaa ana PhD halafu hana B.A wala M.A

Ni kuvumiliana tu.

Siku yako haikamiliki bila kumtaja Dr Slaa.
 
Safi sana kamanda saa nane..Tunahitaji chama chenye viongozi waandamizi na makini kama wewe mku..fanya kazi tuko pamoja sana....
 
Ni kweli unachosema hata ukiangalia CV ya Lema imejaa utata mtupu.

Dr Slaa ana PhD halafu hana B.A wala M.A

Ni kuvumiliana tu.

Ni kweli mkuu bila kuvumiliana hatutafika. Kuna watu ni maprofesa lakini hawakusoma A'level! Waliunga hadi wakapata uprof
 
Leo unalipwa posho shilingi ngapi?

Na wewe leo unajilipa kiasi gani?.

Ukileta hapa hoja za kiudaku usitegemee kila mtu atazinunua. Kwanza unachofanya ni kuharibu hata mantiki ya huo mkutano kwa kutanguliza hoja za udaku na kuzifanya kama ndiyo ilikuwa main theme ya huo mkutano kwa madhumuni ya kujiinua kisiasa.

Mpaka uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kufika, tutakumbana na mengi. Spinning and overspinning, yote hii ili kusimama katika wale na kupata kiti kimojawapo ndani ya ofisi za CHADEMA.

Don't mind with my gash talk. Keep it up.
 
Ndiyo maana mnampoteza Nape kwa kumdanganya hivi.Wewe ndiye mjuaji huko CCM ndiyo maana sishangai wanafunzi laki 3 kupata sifuri.

Nape hahitaji watu kwa sasa kwa sababu amefika hapo alipofika kwa uwezo wake,

by the way, Kama angekuwa anapotea/amepotea kungekuwa na umaana wa wewe kuanzisha thread kumhusu yeye ili kujipamba na kuonekana kama kazi nzuri imefanywa na Ben Saanane ya kumtupilia mbali kisiasa. Itakuaje ufanye kazi nzuri kwa mtu aliyepotea. This is fun.
 
Kamanda wa chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Ben Saanane amemshangaa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye kwa kupita huku na huko akihoji elimu za viongozi wa CHADEMA.

Akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara huko GOBA jana Saanane alisema anamfahamu vema Nape kwani walisoma pamoja huko nchini India.Saanane alieleza kwa kirefu jinsi Nape alivyotumia njia zisizo halali kupata elimu yake.Saanane alimtaka Nape afunge mdomo kwani kamwe hawezi kujilinganisha na John Mnyika kwa sababu ni sawa na kulinganisha na mbingu na ardhi.

Akishangiliwa na umati mkubwa wa watu Saanane pia aliwatahadharisha wananchi kuhusu Juliana Shonza na Mtela Mwampamba ambao walifukuzwa na Chadema na sasa wanatembezwa majukwaa mbalimbali na CCM kwa lengo la kuwatukana matusi viongozi wa Chadema.

Ben Saanane kwa siku za karibuni amejipatia umaarufu mkubwa ndani na nje ya Chadema tangu pale alipofichua njama za usaliti ndani ya Baraza la vijana la Chadema-BAVICHA na hatimaye wasaliti hao walioongozwa na Juliana Shonza na Mtela Mwampamba wakafukuzwa uanachama.

Greenwich,

Unamuunga mkono Ben kwa sababu ya ukanda mkuu?
 
Ni kweli unachosema hata ukiangalia CV ya Lema imejaa utata mtupu.

Dr Slaa ana PhD halafu hana B.A wala M.A

Ni kuvumiliana tu.

jk ana u-dr,
NISAIDIE ANA MASTERS YA NINI?

NA ALIKUWA NA GPA GANI ILIYOMRUHUSU KUSOMA MASTERS?
 
"Siku ya nyani kufa kila mti uteleza",Mnyika baada ya kuwaambia atawafanyia nini watu wa Goba anapeleka mahubiri kuhusu elimu yake na Nape.Siasa za aina hii ndio zinazoharakisha kifo cha Chadema.
 
Acha kupindisha historia.
Wasaliti waliongozwa na Ben Saanane (COBRA) kwa kushirikiana na Habibu Mchange (MDUDE). Ila baada ya Ben Saanane kuona anakosa fursa ya kukutana na Zitto (PREZZO) akaamua kubadilisha plan.

Hii kitu kila mara naifikiria sana,jinsi zitto alivyo expensive kwa huyu jamaa huwa sipati picha kabisa
 
Ni kweli unachosema hata ukiangalia CV ya Lema imejaa utata mtupu.

Dr Slaa ana PhD halafu hana B.A wala M.A

Ni kuvumiliana tu.
Mkuu Ritz,wafuasi wake wanamuita wanasiasa msomi.

 
Nape ana F ya elimu ya uraia 4m 4 alafu anataka kujifananisha na mwenzake Mnyika mwenye A, mbona anajizalilisha bwana nape!
 
Tupe na historia za elimu za lema sugu na msigwa kwa uchache tu, muache kwanza mnyika ambaye angalu ni kidato cha sita
 
Huyu Nahum Nnauye amesoma masters ya utawala alafu kafanya thesis ya maswala ya kupiga kura.
Hivi na hao mzumbe wako serious kweli??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nape wakimbize wababaishaji hao, huyo saa nane ni mnafiki tu anatumika mwisho akiisha utamu anatupwa huko
 
Huyu Nahum Nnauye amesoma masters ya utawala alafu kafanya thesis ya maswala ya kupiga kura.
Hivi na hao mzumbe wako serious kweli??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

na huyu ambaye hana bachelor degree wala masters halafu ana phd imekaaje hii, then aitwa dokta wa ukweli
 
Huyu Nahum Nnauye amesoma masters ya utawala alafu kafanya thesis ya maswala ya kupiga kura.
Hivi na hao mzumbe wako serious kweli??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

tupe elimu ya mwenyekiti ambaye pia ni mbunge wa hai, ambaye pia ni mmiliki wa danguro la usiku la billicanas
 
Back
Top Bottom