Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashiba ftari, tumbo juu juu
Hili ni vazi la heshima sana, hakuna ambae anaweza kuva na lisimpendezi.
Kama Mheshimiwa Speaker wa bunge la Muungano wa Tanzania alivyotinga Ikulu ya Zanzibar na hijabu, vazi lina mvuto wa aina yake na kumbadili kabisa mwonekano wake.
Hadi nchi inapata uhuru huyu mama watoto wa kuku atakuwa amekuwa mzungu
Kama Mheshimiwa Speaker wa bunge la Muungano wa Tanzania alivyotinga Ikulu ya Zanzibar na hijabu, vazi lina mvuto wa aina yake na kumbadili kabisa mwonekano wake.
Kama linapendeza kila mtu, basi tulichague liwe vazi la kitaifa!!!!
kama jamii yote ikikubali kuwa linapendeza, kwani hata kama itakuwa ni kanga, ikiwa wengi watapendezwa nayo, ubaya nini????? Kumbuka, "Kitendo chochote kilicho amuriwa na wengi, ni kitendo cha maendeleo, hata kama hakiongezi shibe wala afya"vazi la taifa liwe kanga kuiweka hijab na kanzu vazi la taifa ni kuiga mkuu