Belarus na Alexander Lucashenko yanaakisi Afrika

Belarus na Alexander Lucashenko yanaakisi Afrika

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,353
Belarus ni nchi iliyo mashariki mwa Ulaya, imepakana na Poland, Urusi, Ukraine na Lithuania. Ina jumla ya raia takriban 900,000 na mji wake mkuu ni Minsk.

Alexander Lukashenko ni Rais aliyetawala Belarus tangu 1994. Katika utawala wake wapinzani wake wamepitia mateso makali sana. Ikiwemo kufunguliwa mashtaka yasiyo na dhamana na kukaa magerezani kwa muda mrefu. Wengi wa wapinzani wa Lukashenko hupoteza maisha. Belarus ni nchi pekee Ulaya ili akiwa hukumu ya kifo.

Mwanzoni mwa mwaka huu, Belarus ilifanya uchaguzi mkuu. Mmoja wa waliosimama kama mpinzani wa Lukashenko ni mwana mama mmoja, mke wa mpinzani wa Lukashenko ambae mume wake yuko gerezani kwa muda mrefu. Wengi wanaamini kuwa mwana mama huyu ndiye alishinda uchaguzi lakini hakutangazwa.

Kumekua na maandamano yasiyo na ukomo ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu. Wiki iliyopita maofisa wa ubalozi wa Uingereza walirudishwa nyumbani akiwemo military attaché kwa kosa la kuwalinda wananchi waliokua wanaandamana mjini Minski. Kwa kujibu mashambulizi 10/11/2020 Uingereza imemrudisha balozi wa Belarus London nyumbani. Uingereza imeshaiwekea Belarus vikwazo vya kiuchumi.

1605087160911.jpeg

 
Habar Sky, hujambo. Leo ndiyo naona kwa upande wangu JF inafunguka kama zamani.
Habari za kupoteana, I was 98% incommunicado if total

Sawa na Trump na CCM! Majitu CCM yameiba kura bado yanashangilia "ushindi"! Trump anajua fika ameshindwa, lkn anangagania Ikulu na kuteua mawaziri! Mmoja wa Senetors, amasikitika kuwa it is a pity waamerika wanafaya yanayofanywa na Third world countries ambayo wamekuwa wakiyakemea!
 
Habar Sky, hujambo. Leo ndiyo naona kwa upande wangu JF inafunguka kama zamani.
Habari za kupoteana, I was 98% incommunicado if total

Sawa na Trump na CCM! Majitu CCM yameiba kura bado yanashangilia "ushindi"! Trump anajua fika ameshindwa, lkn anangagania Ikulu na kuteua mawaziri! Mmoja wa Senetors, amasikitika kuwa it is a pity waamerika wanafaya yanayofanywa na Third world countries ambayo wamekuwa wakiyakemea!
Trump hajakubaliana na ushindi wa Biden, basi atakua na matatizo. Huku kwetu tuliogo aibu ya kuwa rais wa term moja lakini aibu inayokuja ni kubwa zaidi. Pole sana kwa kukosa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom