Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,552
- 8,625
Tayari ant-mshana jr ameishashusha timu yake. ...ila nafaham kuwa kazi ya Fasihi ni Kuelimisha na kuburudisha ....sasa unapomkashifu mtu na wakati yeye Kaja kuburudisha tu jukwaa unamaana gani. .??..Kila mtu anafaham kuwa siyo wa kwao huyo....nn shida kwann wewe tu. ??...