ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Yule 'beki tatu' niliyemnyang'anya simu, jana alimweleza mama yake mzazi kwa nini siku hizi mawasiliano yamekuwa magumu, na kwamba sisi tunaomtunza ndo tumekuwa tukiwasiliana na mama yake tofauti na zamani. Baada ya 'beki tatu' kumaliza maongezi na mamake, mama mtu alinipigia simu.
Ktk maongezi yetu mama wa 'beki tatu' kwanza ametuambia tumefanya vyema kumpora hiyo simu, kwamba hata kwao huwa anasumbua kuongea na simu usiku wa manane wakati 'family members' wengine wakiwa wamelala. Kwamba walijaribu kumchimba mkwara hakuwahi kuwasikia. Amenishauri nishikilie uzi huo huo hadi hapo atakapotia adabu.Sio siri tumefarijika sana, maana tulihisi pengine wazazi wangemaindi kumbe ni kama tumewasaidia.
Nilipenda kuwashirikisha, maana mlisema mengi-'positively and negatively'!
Ktk maongezi yetu mama wa 'beki tatu' kwanza ametuambia tumefanya vyema kumpora hiyo simu, kwamba hata kwao huwa anasumbua kuongea na simu usiku wa manane wakati 'family members' wengine wakiwa wamelala. Kwamba walijaribu kumchimba mkwara hakuwahi kuwasikia. Amenishauri nishikilie uzi huo huo hadi hapo atakapotia adabu.Sio siri tumefarijika sana, maana tulihisi pengine wazazi wangemaindi kumbe ni kama tumewasaidia.
Nilipenda kuwashirikisha, maana mlisema mengi-'positively and negatively'!