Beki 3 Wangu

Beki 3 Wangu

hebu mwanaume ambaye hajawahi kutamani beki3 hata siku moja abonyeze LIKE kwa hii comment kabla sijaendelea
 
I am luck and you have to put things in control wangu anasuka Mara Moja kwa mwezi it cost a about 15 - 20

hapo kwenye RED paliwahi kunicost big time, sitarudia tena. either utasuka kwa hela yako au kata nywele.
kuna binti nilikuwa namfanyia hivyo, cha ajabu, leo ataniambia anaenda kusuka, sh. 10,000 atakaa na nywele siku 3 anafumua, wakati mimi mtoaji wa hela nikisuka nakaa nazo wiki 2. nilijaribu kuongea naye ilishindikana, nikaamua kumwongeza 10,000 kwenye mshahara wake kwa ajili ya salon. baada ya miezi mitatu akarudi kanyoa
 
Mkuu avatar yako na kukemea ni vitu viwili tofauti,ila nilichofanya nimesoma upya ujumbe wako bila kuiangalia.
hilo ni pepo tu, kwa jina la yesu lishindweeeeeeeeeeeeeeee.... na tamaa katika mind set yako............yaan unamtamani mschan wa kazi? ww c babab mzuri wa familia aisee.....!
 
Mkusa kama kweli unapenda ilo pepo la kumtamani beki 3 wako liondoke, mshirikishe wife wako, nadhani atakusaidia sana na baada ya kumshirikisha usisahau kutujuza kisanga kitakachotokea
 
Hujastukia tu kuwa huyo ni mumeo na atakae tupiwa virago ni wewe?

Hahahaaaa! Kimekuuma! Poye! Mie alwatani mjini hapa, akinitupia virago ajue ILL BE TAKING HALF OF HIS HARD EARNED ASSETS FREE OF CHARGE! LOLEST! Nikunga na grounds za ADULTERY no one can stop me mzazi!! Divorce MRADI MKUBWA mujini siku hizi.
 
Labda ya serikali kama ya kanisa mfano wasabato utazisikia tu hizp mali kwenye speaker
 
Wewe haielekei kama unasali na kufunga ili uepushwe na hiyo tamaa, bali unaomba upate chance tu umtafune huyo kimwana. Kama anakuvutia sio mbaya ukaonja kidogo, ila angalie usinogewe ikawa tabu. Hiyo kitu ni starehe tu ndugu yangu, hakuna kulaza damu.
 
baba Jack huyo beki tatu umeshakula tayari vipi mtamu lakni usiendelee kukamua!!!!!!! ndo kawaida zetu hizo
 
sijajua mnashambulia Mkusa kwanini,amehisi kuna tatizo na ameonyesha nia ya kulitatua ,wengi huwa tunajikuta kwenye vishawishi vya aina hii na bado hatusemi tunabaki kimya mpaka hali inakuwa out of hand . Mkusa hebu ongea na wife tumia akili ya kiume lakini usimwambie kama unamtamani huyo binti tengeneza zengwe lolote huyo msichana aondoke hapo home!
Si ndo Nashanga why wananishambulia ilhal mie nimeamua kuwa wazi
 
Unafunga na kuomba,STILL unataka umfanyie ZENGWE ili arudi kwao?

Nielewavyo mimi,hilo ZENGWE ni kama kumsingizia kosa hivi.
Kwa IMANI yako hiyo inayo kufanya UFUNGE NA KUSALI huoni utatenda
dhambi kwa kumuumiza mtoto wa watu utakapo MPA kosa ambalo HAJAFANYA?

We dini gani kwanza???
Speaker , Mie Mkristo, ila Biblia imetuasa kukimbia Vishawishi,
Corinthians 10:13. It says, "But remember that the temptations that come into your life are no different from what others experience. And God is faithful. He will keep the temptation from becoming so strong that you can't stand up against it. When you are tempted, he will show you a way out so that you will not give in to it
sasa jaman mlitaka mie ndo nikimbie kwangu?
 
Mkuu wala ucipate shida ya kufikiria zengwe la kutengeneza.. Asubuhi ukishavaa kabla ya kwenda kazini muume sikio tu wife hapo.. Muambie beki tatu anapendeza na kutia hamu.. Kisha nenda zako kazini.. Ninakuhakikishia utakaporudi jioni hutommkuta ndani huyo beki tatu..! Chezea wife wewe anaelinda huzband wake..
Nimekusoma Mkuu, ahsante kwa input yako, wengi wamenishambulia badala ya kunisaidia
 
Kazi kweli kweli
Leo naenda kumtamani house boy wangu
Bangi nibangue nikafanikiwe hili

Ukimshamtamani, we muundie Zengwe kwa Shem, Fastaaa atatimuliwa, Kimbia Dhambi, Ikimbie Zinaaa Kongosho Dadaangu
 
Last edited by a moderator:
Kazi kweli kweli
Leo naenda kumtamani house boy wangu
Bangi nibangue nikafanikiwe hili

Ukimshamtamani, we muundie Zengwe kwa Shem, Fastaaa atatimuliwa, Kimbia Dhambi, Ikimbie Zinaaa Kongosho Dadaangu
 
Last edited by a moderator:
I have had nice an beautiful House Girls in my House, na nimekuwa very fair Kwao; I just imagine that hawakupata tu opportunity Ambayo Mimi nimepata, hii Mungu Kanipa na Si mbaya tukishare nao.

Kwanza nawalipa hela Ambayo najua wanaweza kusave, nina mke na mtoto mmoja, Si Nyumba complex, namlipa Dada 70,000 hii najua anasaidia Kwao na kusave, gharama nyingine Kama saloon, etc anamwambia mke wangu anapata.

Jambo lingine Sasa ambalo Ni kujibu hoja yako, Jamani kuweni na adabu; why would you think of her Kimapenzi, assume tu Ni Kama mdogo wako na umepewa dhamana ya kumlea, it is more into a mindset than udhaifu.

Kama anafanya Kazi vizuri na katulia, do the following;

- assume Ni mdogo wako unaishi naye.
- assume Huyu mdogo wako Hana maisha bila Wewe kumlea na kumsaidia afanikiwe.
- assume Naye kuna Siku anataka aolewe awe na Nyumba Yake Aishi kwa Amani.
- you have to know that when involved into sex, there are valid feelings of love created, utamsaidiaje?

If you think well of the above you will be fine,

House gals Ni wadogo zetu, Hemu tutafautishe Akili zetu na za Punda Jamani.

When you are face to face with temptation, look for the way out that God has promised and then run as fast as you can.
 
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao....
Hivi ni nini kinafanya Beki 3 awe 'haramu'?:A S 39:

Vipi kama mmoja wa washakj zako akianza mahusiano na huyo Beki 3 wako, utajisikia wivu? Kwa nini?
 
Nimekusoma Mkuu, ahsante kwa input yako, wengi wamenishambulia badala ya kunisaidia

Pamoja Mkuu.. Hapa JF kuna watu ambao wanajifanya wao hawana shortcomings.. Wanashindwa kutoa boriti kwenye macho yao.. Wanaona vibanzi kwenye macho ya wenzao.. Haya mambo yapo na humu wapo wenye tabia mbaya zaidi.. Nafci zinawasuta lakini..
 
Back
Top Bottom