Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,015
- 16,447
Wengi hapa tunamshambulia tu huyu mtoa mada, nadhani amejaribu kuhusianisha na hali halisi majumbani mwetu, kitu cha msingi ni kujitambua,inawezekana ukamuamini sana mkeo/mumeo lakini tutambue dunia imebadilika sana,huyo huyo unaemuamini ndio anamtafuna binti wako wa kazi!