Mkuu, ni Sababu ipi inayokufanya u tune akili yako kuwa "Sito mtamani Dada wa kazi", Hii Mkuu haipo, na kama ndo unavyjipa Hope, ukiona una i tune akili yako hivyo, Basi jua ndo ushaanza kumtamani ila una i tune akili yako ishinde Vishawishi, Bila kumshirikisha Mungu Mkuu hutok hapo
Aisee wewe unaweza kumla hata mtoto wako mtamu mtamu.
kamuulize MahitaPamoja na kwamba haya mambo yanaokea sana,
Sijawahi kuelewa kwamba inakuwaje kuwaje mtu unaanza kumtamani msichana wa kazi....
Kama huwezi kuswitch off hiyo tamaa basi huko mbele ni hatari...hata wakija wabaya utawatamani tu!
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam
Hahahaaaa! Itakuwa LIMBWATA LIMEKUKOLEA!!!!! Chezea kulisha chakula kilichopikwa na MAJI YA KUTAWAZ*A!!!!!Hapo lazima uisome namba, KILA SIKU UNAMUONA BOMBAAAA kumbe CHEMISTRY YA BABU HIYO!!! Hakuja mjini kushangaa MAGHOROFA babu wee. MJINI MIPANGO ATIII! Lazima umtupie WIFE virago kabla msimu wa ndoa kuisha @ Kocha wa Yanga!
vipi ikitokea majaribu siku zijazo basi asiwe na hg,na majaribu ndo ukamilifu wenyewe.theluji nyeupesijajua mnashambulia Mkusa kwanini,amehisi kuna tatizo na ameonyesha nia ya kulitatua ,wengi huwa tunajikuta kwenye vishawishi vya aina hii na bado hatusemi tunabaki kimya mpaka hali inakuwa out of hand . Mkusa hebu ongea na wife tumia akili ya kiume lakini usimwambie kama unamtamani huyo binti tengeneza zengwe lolote huyo msichana aondoke hapo home!
Ndo maana nafunga na kuomba na ikibid natengeneza Zengwe arud kwao
mamajack , ninayoyasema mimi ndo ukweli, hata Baba Jack huenda anapata hisia kama zangu, sasa sijui yeye hata hukumbukaga kumshirikisha Mungu kwa kufanya vitu kama kufunga, sala n.k au huwaga ndo ana do kabisa
Ni Mwezi wa 4 sasa tangu huyu Binti atu join hapa kwetu, mwanzoni siku note but as days goes on, Huyu Bint anazid ku change na kutamanisha, sio mimi tu bali hata washakj wanaonitembelea hawaachi kumwaga comments zao.
Nina kama week sasa nafunga na kuomba Mungu aniepushe na shetani Muovu ambaye kimsingi ameshaanza kut send Bad signal kwenye Mind yangu juu ya huyu Bint, nitaendelea kufunga na Kumuomba Mungu aniepushe na Adui Muovu shetani, ikishindikana zaid nia apply ile wazungu wanasema "He who avoids tempatation avoids Sin" kwa kumtengenezea Zengwe kwa wife ili arudi kwao ukichukulia ni last week tu tumetoka kupima HIV na wife na wote tuko -Ve na sitak kabisaaaa kuwa source ya Maanagamizi ya Familia yangu.
Naomba Mniombee katika kipindi hiki
PS:
Kwa wale mnaotaka ku Employ wadada wa kazi, nashauri muwape kitu kama a "Grace period" ya kama 6 Months na inabid hii iwe agreed before, after six Month ukianza kupata mawazo ya Kishetani mwambie kuwa haja Qualify na umrudishe kwao kabla Hujamtafuna na kuvuruga Familia.
Wasalaam
wakuu,
kwanza kabisa nipende kutoa shukran zangu za dhati kwa michango yenu.
Mmechangia meengi sana ya kujifunza na kama kuna mtu alikuja na kuchungulia hii thread na asipate lolote la kujifunza basi atakuwa na matatizo.
Sitaweza kuwataja woote kwa majina ila sio vibaya nikitoa shukran zangu za dhati kwa wale walio ni challenge na kunikaripia
na wengine kukaribia hata kunichapa vibao kama ingetokea kuwa karibu nao, bila kuwasahau wale walionishauri namna ya kukabiliana na hili
bila kuwasahau wale wale nishauri kumla beki 3 wangu.
Inshort, mungu amejibu maombi yangu, wala sikutengeneza zengwe, ila mungu amenipa namna nzuuuri ya ku solve hii issue, kesho kutwa nampakia gari huyu nimt straight to kwao.
Sihitaji teeeenaa beki 3 nyumbani kwangu
akina mamajack , snowhite , snowball , speaker watu8 kaunga, mtoboasiri, dark city dada white, riwa fyong'oxi kongosho concrete uttoh2002 kituko, cacico badili tabia mzabzab wehoodie paloma, @fp, mtotowamjini, lara 1, philipo kidwanga dena amsi ramos sosoliso blaine king'asi diga diga, eiyer mwakabhuta edson yetooo walimweusi andybird314 mzeepunch, ng'ongoampoku smu, tiqo bak ndukidi ndetichia kipipili salosalo dspecial wagaba chiwa the mockingjay valid statement, jicho la tatu anita baby
ahsanteni sana, mungu yupo jaman na ansikia maombi yetu, kila tuwapo majaribuni, basi tusisite kumuomba guidance yake