Sawa Shem kwa hiyo nimuache huyu Mke wangu niliyemtoa bikra japo roho inauma Shem naomba unipe tulizo la moyo wanguNow you are talking, sio unabaki kumlilia mwanamke kama espy. Kwani hukuwahi kujiuliza umemkosea nini Mungu hadi akakupa mwanamke kama huyo? Wewe unahitaji wanawake tuliotulia kama sisi hapa
Mwenza kizuri kula na nduguyo, kohoeni tu.
Huu upendo wako unanipa mashaka[emoji848]Ndio maana nakupenda laazizi, ukaona si vyema niwe peke yangu unitafutie msaidizi. Nami nampokea Thad kwa mikono miwili nasi si watatu tena bali tu mwili mmoja sasa.[emoji813][emoji813][emoji813]
I do remember and am keeping that promiseRemember when you promise yourself that no man/woman will touch you till you get married??? just Look at yourself now [emoji23][emoji23][emoji23]
Nini hem tupisheWacha bwana.
Vitu kama hivi ndio kinawachanganya sana wale wa kushikiwa akili. Wataamini hivyo na itawaathiri kabisa kiakili na kijamii.Haya tunaomba tusaidiweView attachment 962410
Hahahahaaaa!! Mwenza mimi na wewe hatunyimani.Huu upendo wako unanipa mashaka[emoji848]
Japo nampenda wacha tu nikuachie mimi nibaki na ulemavu wangu
Muache njoo upate pumziko huku kusiko na mawaaSawa Shem kwa hiyo nimuache huyu Mke wangu niliyemtoa bikra japo roho inauma Shem naomba unipe tulizo la moyo wangu
Njoo Shem wangu wangu huyu Mke amenikataaNini hem tupishe
Haya nimewapisha.Nini hem tupishe
Haaaaaaaaa unaitendea haki fasihi na nahau zakeWeeh nani kasema, niko singo na nakunywa uji kama kawaida. Sasa mfano mie nimepewa uwezo wa kubeba mizigo mizito ya kila namna, nikiaa bila kupata hayo mambo itakuwa tabu sana.
Mapadre wote ni walemavu?Haya tunaomba tusaidiweView attachment 962410
Woow ndani kabisa ya uvungu wa moyo wangu baby chukua kiti ukae ukitaka lala kabisaNjoo Shem wangu wangu huyu Mke amenikataa
Nanukuu
Mwanamke mjinga huaribu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
Njoo tupeane raha Bby
Asante Sana my Bby Daaah ulikuwa wap muda mrefu hivi Bby nateseka hiv?? Yaan saiv full rahaaa @ espy Njoo uone navobebishwa hukuMuache njoo upate pumziko huku kusiko na mawaa
Nishalala Bby Mi siondok kwako umeniloga kabsaaWoow ndani kabisa ya uvungu wa moyo wangu baby chukua kiti ukae ukitaka lala kabisa
Haaaaaaaaa unaitendea haki fasihi na nahau zake