Being Single Is Now a Disability, According to the World Health Organization

Being Single Is Now a Disability, According to the World Health Organization

Daaah Mke Wang umeanza lini kuchepuka?? Huyo Eli79 ni nan? Mbona nakuheshimu Sana Mke Wang lkn unanifanyia hivi au unataka na mimi nichepuke??
Baby twende chumbani tukayamalize.
 
Daaah Mke Wang umeanza lini kuchepuka?? Huyo Eli79 ni nan? Mbona nakuheshimu Sana Mke Wang lkn unanifanyia hivi au unataka na mimi nichepuke??
Kiongozi tule tunawe mikono, tufute mdomo halafu tuendelee bwana. Mwenzako kapewa bure, hana hiyana[emoji23][emoji23]
 
Nisaidie bas kulizamisha Shem
Now you are talking, sio unabaki kumlilia mwanamke kama espy. Kwani hukuwahi kujiuliza umemkosea nini Mungu hadi akakupa mwanamke kama huyo? Wewe unahitaji wanawake tuliotulia kama sisi hapa
 
Serikali itusaidie
Serikali sikivu ya awamu ya tano inayoongozwa na Dr John Joseph Pombe Magufuli imesikia tangazo hili la WHO na hivyo chama na serikali itaweka tozo maalum kwa walemavu wote wa namna hii ili sio tu waepukane na huu ulemavu amabao ni mzigo wa kitakwimu kwa serikali, bali pia hiyo tozo itasaidia ktk kuinua hali ya viwanda nchini.
Hahaaaaaa
tapatalk_1544037829555.gif
 
Hivi dada, kuwa single hakumaanishi kuwa yale mambo yetu hatupati?

Weeh nani kasema, niko singo na nakunywa uji kama kawaida. Sasa mfano mie nimepewa uwezo wa kubeba mizigo mizito ya kila namna, nikiaa bila kupata hayo mambo itakuwa tabu sana.
 
Remember when you promise yourself that no man/woman will touch you till you get married??? just Look at yourself now [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom