Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,432
Tunakoelekea mmh
Mkuu, ungezidi kufafanua hapa ili sisi tuliokimbia shule tuelewe zaidi.. Kitua ambacho nataka ukielewe tena hapa ni kwamba, Ukichukua hiyo Rand 139 ukiwa South Africa bidhaa utazozipata ni sawa na Ukichukua Shilingi 3500 ya Tanzania ukanunua bidhaa zilezile hapa kwetu.
Unaweza kununua tu, sema wewe unataka kupata kilo nzima ya kitimoto ambayo ni 10000 so 3500 Robo unapata fresh tu.Mkuu, ungezidi kufafanua hapa ili sisi tuliokimbia shule tuelewe zaidi.
Rand 139 inaweza kununua portion ya pork pale Jo'berg kwenye zile Spurs zao au hata Nandoz. Je, tzs 3,500 pia inaweza kununua portion hiyo hiyo ya pork hapa Daslama Capetown fish market au Samaki samaki, Kidimbwi?
Na hii ndio point ya msingi,....uchumi haulinganishwi na ufanano wa bidhaa bali uwezekano wa kupata pesa ya kununua hio bidhaa[emoji419][emoji419][emoji419].Mkuu we ndio umesema point ya maana
Kiuhalisia mafuta yanaweza kuwa bei sawa ZA, USA na TZ, ila kwa kwa mTZ mafuta kwake ni ghali
Mtu USA anaweza earn avaragely USD 50 per day ila tukirudi Tanzania tuseme kwa siku tunakupa wastani wa tsh 30,000 kwa siku., mda huo lita moja tuseme ni 3400TZS ~ 1.5 USD
Tukiangalia hawa watu katika pato lao la siku mTZ atatumia asilimia kubwa ya pato lake la siku kununua lita moja ya mafuta, yani zaidi ya Asilimia 10% la pato lake linatumika nunua wese lita moja. Mtu kutoka US Atatumia asilimia tatu tu 3% ya pato lake ka siku kuipata lita moja
Katika hawa mTZ lazima afanye yafuatayo ili angalau aishi
-Alie Kama tunavyolia
-Apunguze kiasi cha mafuta anachonunua
-Apaki gari kama sio lazima sana kuwa nalo
Tuache siasa kuipata Rand 136 ZA sio ngumu kama kuipata 3500 bongo
Mkuu, hii si sahihi. Nadhani suala la purchasing power linahusika hapa, issue ni kuelewa tu maana yake hasa, ndicho ninachotaka kukijua.Ila kwa vitu vya kawaida ni always the same as bei za huku kama Vocha, nk