Bei za gesi kupanda tar 1-7-2015

Bei za gesi kupanda tar 1-7-2015

mkuu hiyo mihan kilo 15,000 mbona kama sjakuelewa ndugu yetu.

Don't act like a kid sometimes you must be serious inapokuja serious issue kama hii jaribu kuweka utoto pembeni ndugu.
omba msaada usaidike acha.kuandika taarabu..kama imekosewa inarekebishwa na kama unatumia gesi nenda kanunue ya kg 15"000. Utupe bei mpya

Nimekshtua uwahi kuvunja kibubu
 
Haya sasa mkaa nao umepanda kuanzia leo uamini nenda kanunue ukiuliza nao wanadai dola imepanda huyu dola ni nani hivi

Oryx for.info bei mpya wameanza leo..mihan tar moja
 
Mbona hasemi imepanda kwa kiasi gani na ilikuwa ngapi mi naona sawa tu hukukwetu
 
Oryx gesi

Kg 15-52,000
Kg6-22,000

mihan
Kg 15=51'000

kg 6-21,000

Wahi haraka ukabadilishe kabla haijapanda

Mpendwa msambazaji wetu mkubwa, tunapenda kukutaarifu mabadiliko ya bei kuanzia Tarehe 29 June 2015. Bei zote zimepanda kutokana na mabadiliko ya soko la dunia na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania
Bei mpya ni kama ifuatavyo:msambazaji mkubwa,msambazaji wa kati na mlaji:

3Kg;9,300 -11,000
6KG;18,000 -20,500
12.5kg;39,500 -44,000
15kg;46,000 -52,000
38kg;83,000 -98,000
40kg:87,500 -103,000

Tunakutakia usambazaji mwema

†*********Oryx Gas Tanzania†**********
 
Mpendwa msambazaji wetu mkubwa, tunapenda kukutaarifu mabadiliko ya bei kuanzia Tarehe 29 June 2015. Bei zote zimepanda kutokana na mabadiliko ya soko la dunia na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania
Bei mpya ni kama ifuatavyo:msambazaji mkubwa,msambazaji wa kati na mlaji:

3Kg;9,300 -11,000
6KG;18,000 -20,500
12.5kg;39,500 -44,000
15kg;46,000 -52,000
38kg;83,000 -98,000
40kg:87,500 -103,000

Tunakutakia usambazaji mwema

†*********Oryx Gas Tanzania†**********
 
Kwani kabla ya bei hii ilikuwa SHS NGAPIIIIIIII!!!

Mpendwa msambazaji wetu mkubwa, tunapenda kukutaarifu mabadiliko ya bei kuanzia Tarehe 29 June 2015. Bei zote zimepanda kutokana na mabadiliko ya soko la dunia na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania
Bei mpya ni kama ifuatavyo:msambazaji mkubwa,msambazaji wa kati na mlaji:

3Kg;9,300 -11,000
6KG;18,000 -20,500
12.5kg;39,500 -44,000
15kg;46,000 -52,000
38kg;83,000 -98,000
40kg:87,500 -103,000

Tunakutakia usambazaji mwema

†*********Oryx Gas Tanzania†**********
 
Mbona ndio bei ya siku zote huku nilipo? Kuna wakati hyo kg 6 iliuzwa hadi 28 elfu so hakuna jipya hapo!
 
Kwa nini kuwe na tarehe maalum ya kupandisha bei ya gesi kwani na yenyewe inauzwa na shirika la umma kama tanesco inavyouza umeme? Gesi si kila kampuni na utaratibu wake au kuna bei elekezi kama nauli za magari ya abiria(
mkuu umesahau kwamba chama chetu pendwa kinajiandaa kukusanya pesa ya kampeni toka kwa waagizaji wakubwa wa gesi na mafuta?
 
Mbona ndio bei ya siku zote huku nilipo? Kuna wakati hyo kg 6 iliuzwa hadi 28 elfu so hakuna jipya hapo!

Wewe upo Maswa lazima bei iwe hivyo (joking) but bei ya ges inategemea upo eneo gani mfano hiyo ambayo imepanda maeneo ya Mikoani ilikuwa ndio bei yake japokuwa gas kidogo wanajitahidi tofauti na petrol tofauti haiwi kubwa ila sasa kutoka makao makuu ya mkoa kwenda Wilayani hapo ndo shida unakuta kuna tofauti ya hata buku 7 kama hiyo bei unaouziwa wewe
 
Badala ya gesi kuwa affordable ili kuwashawishi watu kutumia gesi zaidi ya mkaa/kuni, wao ndio wanazidi kuipandisha bei...hayo mazingira na misitu mtayatunza vipi sasa...?? Ngojeni nchi iwe jangwa
 
Back
Top Bottom