Hii nchi inazingu tu, kila kitu dola gass inapanda mafuta ya taa yanafichwa, mkaa haukamatiki, kuni shida hakuna pa kukamata? Hebu raisi ajae atupe namna ya kulainisha vyakula vibichi kama nyani tuachane na haya manishati maana kwa nchi hii kila kitu wanakichukulia kama anasa, inachosha sasa tule visivyopikwa maana hamna jinsi.