M Mamy223 Member Oct 26, 2018 6 0 Jun 16, 2021 #1 Habari zenu, Naomba kujua bei za fremu Morogoro Mjini mitaa ya karibu na soko kuu. asante
Mr.genius JF-Expert Member Feb 20, 2012 1,369 1,169 Jun 16, 2021 #2 Kwa hapo mjini kati sijajua, but maeneo ya huku pembezoni elf 30 unapata.
OMOYOGWANE JF-Expert Member Dec 30, 2016 3,640 9,220 Jun 16, 2021 #3 Hapo town fremu zinaanzia laki na nusu na nakuendelea, utapangishwa kwa masharti ya kulipa kodi mwaka mzima au miezi isiyopungua 6, Kodi utakayolipa kwa mwaka asilimia kumi (ya pembeni utatakiwa kulipa TRA
Hapo town fremu zinaanzia laki na nusu na nakuendelea, utapangishwa kwa masharti ya kulipa kodi mwaka mzima au miezi isiyopungua 6, Kodi utakayolipa kwa mwaka asilimia kumi (ya pembeni utatakiwa kulipa TRA