Mnkondya anasemaje ?Kama kichwa kilivyo yaani hii ni zaidi ya hatari, Mkulima ni chombo cha kudharauliwa nchini. Serikali ilitangaza bei ya soko Tsh. 15, 000/ lakini wanunuzi wanalipa Tsh. 3,000/ (elfu tatu)kwa kilo moja na kwakua Vanilla hailiwi kama chakula inabidi wauze vyovyote ili kuondoa mzigo ndani.
Ni aibu kwa serikali, niaibu kwa CCM na aibubu kwa Wabunge wote wa mkoa wa Kagera, wananchi amkeni hamna watetezi ni mwendo wa kupigania matumbo yao.
Aya yanafanyika huku uongozi wa mkoa upo, Usalama wa Taifa upo na uhuni unafanyika mchana kweupe.
View attachment 2691984
Aibu vipi tena wakati soko ndio linaamua?Kama kichwa kilivyo yaani hii ni zaidi ya hatari, Mkulima ni chombo cha kudharauliwa nchini. Serikali ilitangaza bei ya soko Tsh. 15, 000/ lakini wanunuzi wanalipa Tsh. 3,000/ (elfu tatu)kwa kilo moja na kwakua Vanilla hailiwi kama chakula inabidi wauze vyovyote ili kuondoa mzigo ndani.
Ni aibu kwa serikali, niaibu kwa CCM na aibubu kwa Wabunge wote wa mkoa wa Kagera, wananchi amkeni hamna watetezi ni mwendo wa kupigania matumbo yao.
Aya yanafanyika huku uongozi wa mkoa upo, Usalama wa Taifa upo na uhuni unafanyika mchana kweupe.
View attachment 2691984
Muhuni sana yule, sasa hivi vanilla unaenda kwa mtu anakupa bureMnkondya anasemaje ?
Hakuna mtu ambaye hajui kina Azam wanachofanya bali barrier of entry ndio inayowazuia; huenda leo wewe ukapata chimbo la weze cheaper kuliko Lake Oil ila sababu hao wameshachukua locations nzuri nzuri na wateja wa muda mrefu wewe mpaka wateja wakugundue mkopo wako usha-mature na nyumba zako kuuzwa....Watu hawaelewi na hawajifunzi.
Ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa.
Tujiulize kwanini MO, AZAM, Azania,Camel, Oilcom, Lake Oil, GSM, FSM, HHL, Cello
Hawaiti watu kwenye fursa na wao ndo matajiri?
Inabaki pale pale, hawawezi kukuita wakati wana neemeka, ukiitwa jua waenda lizwa
Cc mgt softwareKama kichwa kilivyo yaani hii ni zaidi ya hatari, Mkulima ni chombo cha kudharauliwa nchini. Serikali ilitangaza bei ya soko Tsh. 15, 000/ lakini wanunuzi wanalipa Tsh. 3,000/ (elfu tatu)kwa kilo moja na kwakua Vanilla hailiwi kama chakula inabidi wauze vyovyote ili kuondoa mzigo ndani.
Ni aibu kwa serikali, niaibu kwa CCM na aibubu kwa Wabunge wote wa mkoa wa Kagera, wananchi amkeni hamna watetezi ni mwendo wa kupigania matumbo yao.
Aya yanafanyika huku uongozi wa mkoa upo, Usalama wa Taifa upo na uhuni unafanyika mchana kweupe.
View attachment 2691984
Yote hayo uliyoyataja siyo wazawa ni MIARABU na MIHINDI. Inanyonya nchi bila huruma.Tujiulize kwanini MO, AZAM, Azania,Camel, Oilcom, Lake Oil, GSM, FSM, HHL, Cello
Sio kwa ubaya lakiniNimecheka balaa. Haya bana
Zao Gani Limejaa Ujanja Mwingi, Ghiriba, Fitna Kama Roho Mbaya Ya Korosho Kule Mtwara Iliyopindua Malori Ya Jeshi Enzi Za Utawala Wa Chuma, Jiwe,Si walisema kilommoja ni 1m ,au wale jamaa wa vanila hawakuwa wakweli?
MkuuKuna documentaries naona wanasema hili ni utajiri
Upewe mauwa yako Mkuu!Sasa hivi nasikia kilo moja ya mabungo ni shilingi 800,000 wakati kilo ya embe ng'ongo imefikia shilingi 720,000/-.
Tuhamieni huku jamani, mtanishukuru baadaye...pumbavu kabisa.
PointlessWakulima hawana ushirikiano cjui ni uelewa mdogo hii ilitakiwa serikali ipelekwe kizimbani Kwa utapeli !
Mtu kama alichukua mkopo Itakuaje
Demand and supplyShusha Hoja ?
Pointless nn