Bei ya unga yapaa

Bei ya unga yapaa

Watanzania acheni kulalamika fanyen kazi mmeona wenzenu kule Lindi na Mtwara wanavyoneemeka kwa kufanya kazi,kilo ya korosho ni 4,000 ss sijui wale watu wa Nyanya hawakufnya kazi na ziko znadola inasikitsha juzi nmetka Kisaki Nyanya ujazo wa ndoo kubwa ni sh 2000 ss huyu mkulima sijui ananufaikaje???
 
Watanzania acheni kulalamika fanyen kazi mmeona wenzenu kule Lindi na Mtwara wanavyoneemeka kwa kufanya kazi,kilo ya korosho ni 4,000 ss sijui wale watu wa Nyanya hawakufnya kazi na ziko znadola inasikitsha juzi nmetka Kisaki Nyanya ujazo wa ndoo kubwa ni sh 2000 ss huyu mkulima sijui ananufaikaje???
Sasa hapa umeandika nini? Una maanisha hao wanaouza nyanya sh 2000 kwa ndoo kubwa hawafanyi kazi au sio watanzania? Hebu funguka zaidi mkuu.
 
lmepanda bei ya unga tu? au bidhaa nyingine pia
 
Mkuu mm sio mchochez nikopta njia tu mana nmetka NSSF kuulizia utartb mafao yng nmeambiwa ukiachishwa au ukiacha itabd ukae miez 6 ndo uanze kuleta madai yko yaan nikiacha mwezi ujao had mwez wa 5 mwakan,nikidhan kule Kisaki tu kwa wauza nyanya kumbe had mm nmeguswa daaaah!!! Inabd tuamke kama taifa moja lasvyo akiachiwa mwaka mwngne anaua.
 
Yaani ni kuisoma namba hadi zinaisha unarudia tena hadi unalala.
Dah..baby... hapo namba ya kusoma ipo wapi?..huoni kama hii ni habari njema kwa wakulima? Ingekuwa mafuta labda tungeisoma...Lakini kwa haya mahindi yanayolimwa hapa Mbagala Kibonde Maji?? ..Noo 🙂🙂🙂🙂
 
Dah..baby... hapo namba ya kusoma ipo wapi?..huoni kama hii ni habari njema kwa wakulima? Ingekuwa mafuta labda tungeisoma...Lakini kwa haya mahindi yanayolimwa hapa Mbagala Kibonde Maji?? ..Noo 🙂🙂🙂🙂
Eti eeeh!! Kwani wao ndio wanauza unga? Kwa Tanzania hii hii unaona ni neema kwa mkulima hiyo!!!!
 
Back
Top Bottom