nguzo1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 355
- 582
Naenda kijijin kulima
~Kama kilo 5 ilikuwa 3500/= basi kilo moja ilikuwa 700/= na siyo 1000/= kama ulivyosema
~ Kwa sasa kama kilo 5 imepanda hadi kufikia 6000/= basi kilo moja itakuwa 1200/= na siyo 1400/= kama ulivyosema.
Now which is which!