Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Sasa unakenua nini!!na bado
Sasa unakenua nini!!na bado
Machadema bana! Kama hadithi ya fisi vile, mnavizia mkono uanguke sio! Hata unachofurahia sikielewi au we una duka lako!Awamu hii mpaka kieleweke
Wafanyabiashara wa jumla na rejareja jijini Dar-es-salaami waalalamikia kupanda kwa bei ya unga wa sembe.
Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, mfuko wa kilo 5 umepanda bei kutoka shilingi 3500 mpaka kufikia shilingi 6000 na kilo moja ya unga imepanda kutoka shilingi1000 mpaka shilingi 1400.
Chanzo: ITV
Wafanyabiashara wa jumla na rejareja jijini Dar-es-salaami waalalamikia kupanda kwa bei ya unga wa sembe.
Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, mfuko wa kilo 5 umepanda bei kutoka shilingi 3500 mpaka kufikia shilingi 6000 na kilo moja ya unga imepanda kutoka shilingi1000 mpaka shilingi 1400.
Chanzo: ITV
Umeshasema kwenu na pengine huishi Dar Mkuu!!Mbona huku kwetu tunanunua 5Kg kwa 5500 mwaka wa pili ss
na bado
Nadhani tulieiewa vibaya dhana ya "KUISOMA NAMBA",Inabidi turudi darasani kwa awamu nyingine.Yaani ni kuisoma namba hadi zinaisha unarudia tena hadi unalala.
Niko Dar kijana!Umeshasema kwenu na pengine huishi Dar Mkuu!!
Kwa mikoa baadhi nadhani kilo tano hadi Tsh 6000/= ila mleta Uzi anazungumzia kwa hapa Dar Es Salaam na siyohuko kwenu.
Unajua mkuu mimi huwa nakasirika sana na watu wa aina yako! Yaani mfuko wa kilo 5 uuzwe kwa 350? Wewe,, tena usirudie kabisa!!Na bado tutaisoma namba kwa sana! Ila mkuu "3500" si ukikuwa na maana ya "350"?
Niishi kwa shemeji.....!!! Nalea wajukuu tafadhali. Ni mkulima ambaye nina akiba ya chakula cha kunitosha na wajukuu zangu muda mrefu.
Sasa ulitaka watu wacheke wakati wanaisoma namba? uhondo wa ngoma niungie uchezeTumezidi kulalama bwana. Hatuna jema wala baya cc nikulalamika tu