gazeti l la Rai Feb 17, 2011. ktk gazeti hilo nimejionea sababu halisi za kupaa kwa bei za mafuta nchini. Nimekua nikisikia Burundi na nchi zinazopitisha mafuta yao hapa nchini bei zao ziko chini. Tz Mambo yako hivi: Bei ya kuagiza 720/=, Sumatra,Tipper, Tbs, Demurrage 411/= Kodi ya mapato, excise duty, Ewura levy 363/=. hii ni kwa ufupi mlolongo ni mrefu sana kwa lita hiyo moja tu ya mafuta.je, ni lazima tuwe na wakusanya kodi wote hawa? je, nchi jirani nao wanafanya hivi? Mbona tunauana?