Mara ya mwisho naingia filling station bei ya wese ilikua 2,405 karibu sheli zote. Leo nimeingia kujaza wese nakuta bei inasoma 2427 kuna ongezeko la Tshs 22. Nakumbuka jamaa pale sheli alinambia na bado bei itaendelea panda.
Tunakoelekea sahivi uchumi utadidimia na sio kukua. Sahv kila kitu kimepanda bei sio mafuta tu mpaka spare za magari, tyres nk.
Ndo maana ulaya naona wanakimbizana kupiga vita magari ya mafuta ni mwendo wa magari ya umeme ...sasa sijui watu wenye mafuta wanataka kutukomoa maana si mda hayatakua dili tena.
Ndo maana ulaya naona wanakimbizana kupiga vita magari ya mafuta ni mwendo wa magari ya umeme ...sasa sijui watu wenye mafuta wanataka kutukomoa maana si mda hayatakua dili tena.